TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Mjini, Dkt. Amani Walid Kabourou, afariki dunia

TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Mjini, Dkt. Amani Walid Kabourou, afariki dunia

Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".

By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.

Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.

Duh this is too much,i never dreamed or expecting to see such a post from a normal Tanzanian,now i need to change my attitude,that things are nor longer at easy,so no longer business as usual,but rather is business unusual!!!
GOSH
 
Duh this is too much,i never dreamed or expecting to see such a post from a normal Tanzanian,now i need to change my attitude,that things are nor longer at easy,so no longer business as usual,but rather is business unusual!!!
GOSH
Ubaya ubaya tu sahv

Ova
 
kama kile kilichompata Baba junior mume wa Mushumbusi balozi mteule wa Sweden, aka. the shoopkeeper

Stupid....jifunze ku address Majina ya watu kama yalivyo....
Kilichompata nini?
 
Aliyewahi kuwa mbunge wa Kigoma mjini Dkt. Amani Walid Kabourou, ametangulia mbele ya haki.

Alikuwa kalazwa Hospitali ya Muhimbili. Mazishi yanafanyika Kigamboni Dar Es Salaam.

Mola ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Ameni.

KWA UFUPI:

Marehemu alizaliwa 23 Mei, 1949.

Aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini (CHADEMA) kabla ya kuhamia CCM mnamo mwezi Septemba 2006 na kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma mwezi Oktoba mwaka 2012.

Aliwahi kuwa Mbunge wa Afrika Mashariki kuanzia 05 Juni, 2007 hadi 04 Juni, 2012

UPDATE.

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi
c916615902a3bcbbc9f5074b892388c8.jpg


More Updates
CHADEMA watoa salamu za rambirambi

View attachment 706627
R.I.P
 
Kesi yake ya uchaguzi dhidi ya Premji ilikuwa ni mfano mzuri wa uhuru wa mahakama. Alifanikiwa kutengua ubunge wa mwana ccm Premji kwa hoja kwamba serikali ilimpigia kampeni wazi wazi akiwemo rais Mwinyi wakati huo. Ni hukumu rejea nzuri sana, bahati mbaya uhuru wa court siku hizi ni questionable. Mahakama ilitasfiri ni wakati/mazingira gani rais anatakiwa asimame kama mwenyekiti wa chama wakati anakifanyia kampeni chama chake nk.
 
Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".

By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.

Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
Aaa wacha zako kwa nini unacomment?
 

Attachments

  • FB_IMG_1493442525299.jpg
    FB_IMG_1493442525299.jpg
    24.9 KB · Views: 33
Tutamkumbuka sana - tutaenzi kwa vitendo na maneno nasaha zake juu ya nchi na chama chetu cha MAPINDUZI - tutaendelea kuhimiza Amani, Usalama wa Taifa letu, na mambo mengine mengi.

Pumzika kwa amani rafiki na kipenzi chetu
 
Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".

By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.

Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
nikweli aliewahi kuwa mbunge kigoma
 
mimi mwanaccm akifa naona raha sana!tena naombeni mnijuze hivi ndugai bado anapumua?
 
Sama alikuwa katibu mkuu wa Chadema muasi kama Lipumba..
Mungu amuweke panapo mstahili.
 
RIP. Lkn mtu anapofariki inatufundisha tufahamu kwamba mabaya tunayofanya hapa duniani hutufuata hata huko tuendako.

Yafaa tumuogope Mungu na tuwapo madarakani tutende mema tukijua kuwa kesho ni zamu yetu. Tuache vitendo vya kuuwa au kuteka watu kisa, tunatofautiana ki mitizamo.
 
Back
Top Bottom