Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivii umeshindwa kusema ni mwana CCMAliyewahi kuwa mbunge wa Kigoma mjini Dkt. Amani Walid Kabourou, ametangulia mbele ya haki.
Alikuwa kalazwa Hospitali ya Muhimbili. Mazishi yanafanyika Kigamboni Dar Es Salaam.
Mola ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Ameni.
KWA UFUPI:
Marehemu alizaliwa 23 Mei, 1949.
Aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini (CHADEMA) kabla ya kuhamia CCM mnamo mwezi Septemba 2006 na kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma mwezi Oktoba mwaka 2012.
Aliwahi kuwa Mbunge wa Afrika Mashariki kuanzia 05 Juni, 2007 hadi 04 Juni, 2012
UPDATE.
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi
![]()
Jamaa zangu wa pande ile huwa hawaaminiki. Vigeugeu kwelikweli.
Akapokelewe anapostahili
Tido Mhando akifikishwa Mahakamani kwenye Muendelezo wa kesi yake huwa hatuitaji Azam two huwa tunasema aliekuwa Mkurugenzi mtendaji wa TBCQuinine huyu Mtu alishaondoka CDM na Kwenda CCM,akachaguliwa kuwa Mwenyekiti CCM (M) Kigoma. Hajawahi Kuondoka CCM hadi umauti umemkuta, kwa nini utambulisho wake utaje CDM au kick
imekuwa kama yule msabaha wa cuf, nilimuona zanzibar naona kama akili sio zake, nahisi wapemba walimpiga kipapai aisee, sio bure, manake alipotoka kigoma tu, hali yake ikambadilikia
Umemaliza vema.Si jukumu letu kuhukumu,Mungu amlipe sawa na matendo yake.Hakuna mpinzani aliyependwa kama yeye kigoma mjini . Kuhama kwake kwenda ccm kuliwavunja mno moyo wakazi wa kigoma mjini.Enzi zake katika CDM kuna ndoa zilifarakana kwa sababu yake..Siwezi kuwa mnafiki kwamba kifo chake kimenigusa.Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".
By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.
Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
acha apumzike atavuna atavuna alichopandaAliyewahi kuwa mbunge wa Kigoma mjini Dkt. Amani Walid Kabourou, ametangulia mbele ya haki.
Alikuwa kalazwa Hospitali ya Muhimbili. Mazishi yanafanyika Kigamboni Dar Es Salaam.
Mola ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Ameni.
KWA UFUPI:
Marehemu alizaliwa 23 Mei, 1949.
Aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini (CHADEMA) kabla ya kuhamia CCM mnamo mwezi Septemba 2006 na kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma mwezi Oktoba mwaka 2012.
Aliwahi kuwa Mbunge wa Afrika Mashariki kuanzia 05 Juni, 2007 hadi 04 Juni, 2012
UPDATE.
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi
![]()
Yakwake yamekwisha subiri yakwakoLET HIM GO! ALISALITI DEMOCRASIA
Yakwake yamekwisha subiri yakwako
Bila shakaAh, kumbe nawe ni wa pale Buzebazeba!
Vv
Kauwa wangapi?na lini kasababisha watu wauane?NIPO NASURBIRI KIROHO SAFI NA SJASABABISHA WATU KUUANA AU KUUA KAMA YEYE ALIYEDANGANYA WANANCHI KISA TUMBO
NdagaR.I.P
NIPO NASURBIRI KIROHO SAFI NA SJASABABISHA WATU KUUANA AU KUUA KAMA YEYE ALIYEDANGANYA WANANCHI KISA TUMBO
Mwasisi wa wabunge, madiwani, na viongozi wa kununuliwa na CCM.Aliunga mkono juhudi mapema sana