Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".
By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.
Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
Ubaya ubaya tu sahvDuh this is too much,i never dreamed or expecting to see such a post from a normal Tanzanian,now i need to change my attitude,that things are nor longer at easy,so no longer business as usual,but rather is business unusual!!!
GOSH
Je hapa serikali haigharamii mazishi?Alihamia CCM toka Chadema.
CHAWAMBI.Ni mwanachama wa Chama gani? R.I.P
kama kile kilichompata Baba junior mume wa Mushumbusi balozi mteule wa Sweden, aka. the shoopkeeper
R.I.PAliyewahi kuwa mbunge wa Kigoma mjini Dkt. Amani Walid Kabourou, ametangulia mbele ya haki.
Alikuwa kalazwa Hospitali ya Muhimbili. Mazishi yanafanyika Kigamboni Dar Es Salaam.
Mola ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Ameni.
KWA UFUPI:
Marehemu alizaliwa 23 Mei, 1949.
Aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini (CHADEMA) kabla ya kuhamia CCM mnamo mwezi Septemba 2006 na kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma mwezi Oktoba mwaka 2012.
Aliwahi kuwa Mbunge wa Afrika Mashariki kuanzia 05 Juni, 2007 hadi 04 Juni, 2012
UPDATE.
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi
More Updates
CHADEMA watoa salamu za rambirambi
View attachment 706627
Aaa wacha zako kwa nini unacomment?Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".
By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.
Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
nikweli aliewahi kuwa mbunge kigomaMbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".
By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.
Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
Stupid....jifunze ku address Majina ya watu kama yalivyo....
Kilichompata nini?
Anazikwa ujiji kigomaIngefaa zaidi azikwe Kigoma kwa kuwa kule ana historia kubwa na ndefu!!
RIP
Chadema for what ,J'aime KigomaDah huyu kamanda alijimaliza kabisa alipohamia chama cha maslahi