ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Duniani tunapita tu ππMzee kaacha Mali za kutosha ama hakika Mali za Dunia hii sio kitu.
Tuliopitia jkt tunajua huyu mzee alikuwa hapendi kuruta aonewe, akikuta askari anamuonea kuruta anaweza hata akampa adhabu lakini pia alikuwa mtu poa hata kwa wanajeshi wenzie, kwa kifupi alikuwa anakubalika ndio maana wengi walisikitika alivyonyimwa u-cdf baada ya magu kufarikimfano ni zipi?
Sina tatizo na mali zake, tatizo langu ni wangapi aliwaonea kwa cheo chake considering tabia ya wanajeshi kuwaonea raia!
Wanadunda coz zama zao na influence kisiasa hawana!!RIEP Maj Gen wana Ruvu tutatukukumbuka daima, laiti Magufuli angekuwa hai ungeshakuwa CDF Kitambo sana, kina Msuguri na mwenzie Sarakikya bado wanadunda tu
Madam natak nikuulize , ivi kuwa CDF si ni mpaka uwe na cheo cha nyuma yake yani luten general?,RIEP Maj Gen wana Ruvu tutatukukumbuka daima, laiti Magufuli angekuwa hai ungeshakuwa CDF Kitambo sana, kina Msuguri na mwenzie Sarakikya bado wanadunda tu
Acha kukaririmfano ni zipi?
Sina tatizo na mali zake, tatizo langu ni wangapi aliwaonea kwa cheo chake considering tabia ya wanajeshi kuwaonea raia!
Panua wigo uwe mpanaπ. Sipendi uzembe Sahwah eeh?Asante mkuu kawaida tu
Hahaha yani weweeePanua wigo uwe mpanaπ. Sipendi uzembe Sahwah eeh?
Sijakufikia wewe.ππ Ongezeko lako la akili ni mateso kwetuππHahaha yani weweee