TANZIA Aliyewahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge afariki dunia nchini India

R.I.P tunashukuru kwa utumishi wako,na hata aliyekuteua aliteua mtu sahihi,you were very creative.
Kwa kipindi nilichokufahamu hakika ulikuwa mchapakazi sana tena hukuishia kutoa maagizo tu bali ulienda mwenyewe field.
JKT uliibadilisha kutoka kuwa ya kuroll kwenye mifereji ya maji machafu na ya kutumia nguvu mpaka kuwa productive na kutumia akili kitu ambacho kilikuwa na tija kwa taifa.
Pole kwa familia na watanzania kwa ujumla.
 
Kuna siri gani watumishi wengi wakistaafu tu uwa hawakai sana wanakufa.
Ila picha yake ya mwisho alipokuwa akiagwa na kugabidhiwa gari mwezi wa nane alionyesha hakuwa sawa kifya nilinotes hiko kitu.
 
Poleni sana, Magufuli alimkubali sana, alimpandisha vyeo kabla ya muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…