TANZIA Aliyewahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge afariki dunia nchini India

TANZIA Aliyewahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge afariki dunia nchini India

Hii familia ya Mbuge, almost asilimia 80 ya Wana familia ni Maaskari wa Jeshi pia maana Marehemu Baba yao, Mzee Mbuge alistaafu akiwa Mkuu wa Kambi moja wapo Mkoa fulani

Marehemu Charles Mbuge, alikuwa maarufu kuliko Wana familia wengine kutokana na kujiingiza kwenye burudani miaka ile ya Mwanzoni mwa 2000 akiimbwa na Twanga Pepeta akiwa na Cheo cha Captain, lakini umaarufu wake ulipanda zaidi wakati wa Utawala wa JPM, maana alitokea kupendwa na kupandishwa Cheo haraka haraka mno hadi wengine kusema "the CDF who was never be"

Poleni wote mlioguswa na Msiba huu

Tutaonana baadaye 😭😭
 
Tuliopitia jkt tunajua huyu mzee alikuwa hapendi kuruta aonewe, akikuta askari anamuonea kuruta anaweza hata akampa adhabu lakini pia alikuwa mtu poa hata kwa wanajeshi wenzie, kwa kifupi alikuwa anakubalika ndio maana wengi walisikitika alivyonyimwa u-cdf baada ya magu kufariki
Kipindi chake pale Ruvu hapakua na kazi nyingi kama sio Bustani ni kwenye kuku ila baada ya pale alivokuja Mnyani tulikoma kila akiona sehemu ya wazi alitaka palimwe
 
Meja Jenerali Mstaafu Charles Mbuge amefariki dunia leo October 12,2024 alfajiri akiwa Nchi India alipokuwa akipatiwa matibabu.

August 02, 2024 Mbuge aliagwa rasmi Jeshini baada ya kulitumikia Jeshi kwa zaidi ya miaka 38 na aliagwa kwa kukagua gwaride rasmi la kijeshi katika Viwanja vya Mgulani (Twalipo Admistration Unit-TAU) Jijini Dar es salaam.


Soma:
1. Meja Jenerali Charles Mbuge astaafu utumishi wake jeshini

2. Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo

3. Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

Maisha ni ya ajabu sana.amestaafu tu na kufariki.yaani sidhani hata kama mafao yake yalikuwa yameshatoka.by the way huyu ndiyo yule alisimamia ujenzi qa ukuta wa mererani? pia sijui ni yeye mwenye shamba kubwa sana la kisasa huko kisarawe?
 
Hii familia ya Mbuge, almost asilimia 80 ya Wana familia ni Maaskari wa Jeshi pia maana Marehemu Baba yao, Mzee Mbuge alistaafu akiwa Mkuu wa Kambi moja wapo Mkoa fulani

Marehemu Charles Mbuge, alikuwa maarufu kuliko Wana familia wengine kutokana na kujiingiza kwenye burudani miaka ile ya Mwanzoni mwa 2000 akiimbwa na Twanga Pepeta akiwa na Cheo cha Captain, lakini umaarufu wake ulipanda zaidi wakati wa Utawala wa JPM, maana alitokea kupendwa na kupandishwa Cheo haraka haraka mno hadi wengine kusema "the CDF who was never be"

Poleni wote mlioguswa na Msiba huu

Tutaonana baadaye 😭😭
Baba yake na Mbuge, alistaafu akiwa kanali.
 
Back
Top Bottom