Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,164
- 3,553
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
R.i.p kandoroMkuu wa mkoa mstaafu Mzee Abbas kandoro amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar alikolazwa kwa matibabu.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Ila hii fafafafa ya sasa hivi uenda ikaacha legacy ya kipekee, kunzia tezi dume, vyeti feki, chura, kisembe, uvamizi, utekaji n.kLegacy
Tena ile ya GuinessIla hii fafafafa ya sasa hivi uenda ikaacha legacy ya kipekee, kunzia tezi dume, vyeti feki, chura, kisembe, uvamizi, utekaji n.k
Comrade Kandoro, my your Soul Rest in Paradise.
Inategemea umaarufu wa nini hata Idi Amini alikuwa maarufu,Baada ya Makonda Huyu Kandoro ndio RC
Maarufu zaid katika Miaka ya karibuni
Allah amsamehe Makosa yake Na AMPE Kauli thaabet huko aliko
Imethibitishwa Abass Kandoro hatunaye tena. Source inasema alikuwa ICU kwa muda mrefu sana