Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupotosha, watu wanajiandaa na 2025"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"
Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi kipindi hicho cha mapumziko nini kitakua kinaendelea 🐒
Je, kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, unadhani huu ni uamuzi muafaka na sahihi kwa mwanasiasa huyo?
Huko CCM mnabanduana tu"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"
Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi kipindi hicho cha mapumziko nini kitakua kinaendelea 🐒
Je, kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, unadhani huu ni uamuzi muafaka na sahihi kwa mwanasiasa huyo?
Mada ya kijinga na Kibwegge kabisa ZERO 🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🧠🤓🤣😅"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"
Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi kipindi hicho cha mapumziko nini kitakua kinaendelea 🐒
Je, kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, unadhani huu ni uamuzi muafaka na sahihi kwa mwanasiasa huyo?
Umeanza taarabu za Bibi mkubwa.sasa,
umechoka kuzungumza kujadili utaweza kweli gentleman![]()
CHAWA wa 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸 KIZIWIUmeanza taarabu za Bibi mkubwa.
Bado hujasema Kubwa la MACHAWAmbona hujaweka ya kierevu sasa gentleman![]()
That is my point Jimmy katumia influence yake kuanzisha biashara kubwa kenya na kutengeneza ajira na si kuingia kwenye siasa. Kumbuka Jimmy ni mtoto wa the late Maina Wanjigi ambaye alikuwa Mp wa Kamukunji. Na Jimmy ni classmate wa Uhuru Kenyata na Gideon Moi ambao ni watoto wa Rais Kenyatta na Moi. Jimmy angekuwa mtanzania angehangaikia kuingia kwenye siasa. Lakini jamaa alijiposition kuwa strategist wa kuwasaidia watu kushinda na baadae akafungua makampuni ambayo yametengeneza ajira nyingi Kenya.jimi wanjigi hana qualifications za uongozi, hawezi kugombea hata u MCS tu na akashinda![]()
Remote control yake inasemaje"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"
Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi kipindi hicho cha mapumziko nini kitakua kinaendelea 🐒
Je, kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, unadhani huu ni uamuzi muafaka na sahihi kwa mwanasiasa huyo?
Anaweza kuzibiwa kwenye chupa"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"