Tetesi: Aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na baadaye kutenguliwa akiwa waziri wa mambo ya nje ya nchi kupumzika siasa 2025, kujipanga na uongozi wa juu 2030

Tetesi: Aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na baadaye kutenguliwa akiwa waziri wa mambo ya nje ya nchi kupumzika siasa 2025, kujipanga na uongozi wa juu 2030

That is my point Jimmy katumia influence yake kuanzisha biashara kubwa kenya na kutengeneza ajira na si kuingia kwenye siasa. Kumbuka Jimmy ni mtoto wa the late Maina Wanjigi ambaye alikuwa Mp wa Kamukunji. Na Jimmy ni classmate wa Uhuru Kenyata na Gideon Moi ambao ni watoto wa Rais Kenyatta na Moi. Jimmy angekuwa mtanzania angehangaikia kuingia kwenye siasa. Lakini jamaa alijiposition kuwa strategist wa kuwasaidia watu kushinda na baadae akafungua makampuni ambayo yametengeneza ajira nyingi Kenya.
aligombea urais lakini 2022 na akawa hana sifa akawa disqualified.

alianza harakati hizo kwa kutaka kugombea urais kupitia ODM wakambinya, wakachapisha fomu moja tu kwaajili ya Raila, akakasirika, japo alikua life member wa ODM lakini alilazimika kujiondoa akaanzisha Safina Party chama ambacho yeye ndie kiongozi mkuu mpaka sasa, lakin bado alikua disqualified kua presidential candidate 2022,
huko sio kutapanya pesa huko?

kwanza nani atamchagua jimmy wanjigi na majivuno yake yale? au hata mwanasiasa gani ataungana na jimmy wanjigi mbishi na mjuaji vile....

for sure ana pesa but politically hana mvuto, wala hana ushawishi..
havutii makundi mbalimbali kwasabb licha ya utajiri alio nao, jimmy wanjigi ni mbinafsi na mchoyo sana 🐒
 
labda apigiwe kura na baba yake...mm na heshima zangu niende mpigia kura january kweli??? 😎 .au nimpigie kura mwanamke yeyote ktk nafasi ya juu kabisa ya uongozi la ha shaa!...labda niwe nimenyweshwa pombe kali sijielewi
ni uhuru na haki yako kumchagua muwakilishi yeyote unaempenda, but pia nae ni uhuru na haki yake kuwapo kwenye dabe, kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango 🐒
 
"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"

Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi kipindi hicho cha mapumziko nini kitakua kinaendelea 🐒

Je, kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, unadhani huu ni uamuzi muafaka na sahihi kwa mwanasiasa huyo?
Habari zako labda kuku wa nyumbani kwako wanaweza kusoma huku wakidonoa.
 
Hawa wanasiaasa wetu ni wajinga sana. Mtu unapiga hela badala ufungue biashara kubwa uajiri watu kuanzia 1000 na kuendelea.

Unatumia hela nyingi kugombea ubunge au urais. Iliniuma sana hela alizotumia Lowasa mwaka 2015.

Ile hela aliyotumia angeitumia katika uwekezaji angefanya mambo makubwa sana humu nchini. Wanasiasa wa kenya wakipiga hela wanawekeza nyumbani (Case study Nickolas Biwott na Jimi Wanjigi).

Huku mtu anatumia hela kugombea awamu ijayo mpaka unaogopa hii hela atairudishaje. Huu ni ujinga mkubwa sana na ukiangalia misafara ya magari inavyopita katika bara bara zetu mbovu.

Bora kuwa mfanyabiashara mkubwa kuliko kuwa Rais.
Wanasiasa wa bongo utajiri wao haupo wazi
Lowassa mwenyewe alisema yeye ni masikini pesa ana changiwa na marafiki zake
 
Wanasiasa wa bongo utajiri wao haupo wazi
Lowassa mwenyewe alisema yeye ni masikini pesa ana changiwa na marafiki zake
kuna ukweli lakini, nadhani sote tumeshuhudia hayati E.N.Lowasa amepumzika kimaskini tu mbele za haki 🐒
 
upo sahihi hakuna ubaya...awepo tu kufurahisha genge la watia nia 😀
kama kawaida yangu kitaalamu zaidi,

kila mtia nia aliefuata kikamilifu ushauri na maoni yangu ya kitaalamu, kisayansi kisiasa alifanikiwa pakubwa na kukwaa alichotamani kukipata.

nawaalika watia nia wote for free advice mpaka December 2024, kuanzia January 2025 utachangia kidogo 🐒
 
"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"

Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi kipindi hicho cha mapumziko nini kitakua kinaendelea 🐒

Je, kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, unadhani huu ni uamuzi muafaka na sahihi kwa mwanasiasa huyo?
Acha kupotosha umma, January Malope hawezi kamwe kuwa Rais wa JMT,labda Rais wa malofa,elewa neno kamwe.

Niko pale nimekaa
 
Back
Top Bottom