Tetesi: Aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na baadaye kutenguliwa akiwa waziri wa mambo ya nje ya nchi kupumzika siasa 2025, kujipanga na uongozi wa juu 2030

Acha kupotosha, watu wanajiandaa na 2025
 
Huko CCM mnabanduana tu
 
Mada ya kijinga na Kibwegge kabisa ZERO ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿง ๐Ÿค“๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…
 
mbona hujaweka ya kierevu sasa gentleman
 
CHAWA wa ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ๐Ÿธ KIZIWI
umekosa kabisa wazo jipya na wala huna fikra mbadala dhidi ya hoja mezani?

unadunda dunda tu
 
jimi wanjigi hana qualifications za uongozi, hawezi kugombea hata u MCS tu na akashinda
That is my point Jimmy katumia influence yake kuanzisha biashara kubwa kenya na kutengeneza ajira na si kuingia kwenye siasa. Kumbuka Jimmy ni mtoto wa the late Maina Wanjigi ambaye alikuwa Mp wa Kamukunji. Na Jimmy ni classmate wa Uhuru Kenyata na Gideon Moi ambao ni watoto wa Rais Kenyatta na Moi. Jimmy angekuwa mtanzania angehangaikia kuingia kwenye siasa. Lakini jamaa alijiposition kuwa strategist wa kuwasaidia watu kushinda na baadae akafungua makampuni ambayo yametengeneza ajira nyingi Kenya.
 
Remote control yake inasemaje
 
labda apigiwe kura na baba yake...mm na heshima zangu niende mpigia kura january kweli??? ๐Ÿ˜Ž .au nimpigie kura mwanamke yeyote ktk nafasi ya juu kabisa ya uongozi la ha shaa!...labda niwe nimenyweshwa pombe kali sijielewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ