MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Je atakuwa hai hiyo 2030????"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"
Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi kipindi hicho cha mapumziko nini kitakua kinaendelea π
Je, kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, unadhani huu ni uamuzi muafaka na sahihi kwa mwanasiasa huyo?
relax tu gentleman,Acha kupotosha umma, January Malope hawezi kamwe kuwa Rais wa JMT,labda Rais wa malofa,elewa neno kamwe.
Niko pale nimekaa
Mie sio mwizi Kama nyinyi Mafi SIEM shekhe Mimi ni mlipa Kodi ambazo nyinyi zinawatoa kibri nakujiona maboss zetu kumbe ajira hizo sisi ndio tumewapa shenZy typeuoga na uvivu wako ndio umaskini wako, visingizio ni utumwa mazito π
πππ, miongoni mwa wanasiasa ambao nawachukia ni Februari na Nape, KJ, Kinono, nayachukia sana majizi yale.Yeye, Mimi na wewe, kwa Neema na Baraka za Mungu' atakavyoona inafaa kwa mapenzi yake mwenyewe kwetu sisi sote tutakuako π
chuki binafsi ni kitu mbaya sana aise...πππ, miongoni mwa wanasiasa ambao nawachukia ni Februari na Nape, KJ, Kinono, nayachukia sana majizi yale.
Wala si chuki binafsi, ni mafisadi papa, ma mafiachuki binafsi ni kitu mbaya sana aise...
si itakutafuna sana gentleman na unaweza kujisababishia matatizo ya figo π€£
relax gentleman punguza mihemko na makasiriko, kadi, tozo na ushuru unaotzwa wewe mimi na waTanzania wengine, serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi madhubuti na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan inajenga mabarabara, Reli, mashule mahospitali, ulinzi na usalama n.k na kidogo inayobaki ndio wafanyakazi wa umma wanagawiwa kidogo kidogo πMie sio mwizi Kama nyinyi Mafi SIEM shekhe Mimi ni mlipa Kodi ambazo nyinyi zinawatoa kibri nakujiona maboss zetu kumbe ajira hizo sisi ndio tumewapa shenZy type
"Ni uamuzi mgumu sana kisiasa, lakini ni wa kimkakati zaidi"
Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi kipindi hicho cha mapumziko nini kitakua kinaendelea π
Je, kwa mustakabali wa siasa za Tanzania, unadhani huu ni uamuzi muafaka na sahihi kwa mwanasiasa huyo?
uzuri ni kwamba nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya sheria na katiba na sio maoni na mtazamo wa mtu dhidi ya Fulani na Fulani πWala si chuki binafsi, ni mafisadi papa, ma mafia
Mahakama zipi?uzuri ni kwamba nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya sheria na katiba na sio maoni na mtazamo wa mtu dhidi ya Fulani na Fulani π
una ushahidi na vitendo vya kihalifu dhidi ya yeyote yule, unaripoti panapohusika na mahakama zetu ziko wazi pia π