Aliyewahi kwenda Zanzibar kununua vitu vya electronic bei ipoje?

Aliyewahi kwenda Zanzibar kununua vitu vya electronic bei ipoje?

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
830
Reaction score
1,449
Wajuvi nina mpango wa kwenda zanzibar kununua vitu used vya electronic kama ps3, ps4 na computer je hivi vitu vinapatikana kwa bei rahisi kweli na upatikanaji wake upoje na vipi kuhusu kodi
 
Wajuvi nina mpango wa kwenda zanzibar kununua vitu used vya electronic kama ps3, ps4 na computer je hivi vitu vinapatikana kwa bei rahisi kweli na upatikanaji wake upoje na vipi kuhusu kodi
Nenda stone town Kuna vitu vingi na Bei Ni rahisi ila bandarini utalipia ushuru Kama utapita chocho haya kwa mfano ukiwa Tanga Kuna kipumbwi, pangani na ushongo, dsm labda bagamoyo.

Pia uwe na muda wa kuzunguka maana maduka yako mbali mbali kuko poa kwa kweli, Karibu , je unatokea wapi kwenda Zanzibar?
 
Nenda stone town Kuna vitu vingi na Bei Ni rahisi ila bandarini utalipia ushuru Kama utapita chocho haya kwa mfano ukiwa Tanga Kuna kipumbwi, pangani na ushongo, dsm labda bagamoyo .
Pia uwe na muda wa kuzunguka maana maduka yako mbali mbali kuko poa kwa kweli, Karibu , je unatokea wapi kwenda Zanzibar?
Mfano kama nikienda kununu Tv moja ya laki 350,000 nayo inalipiwa ushuru? Na kitu kama hiyo PS ya kuweka kwa begi unalipia ushuru? Na kama ushuru ni bei gani?
 
Kule unapata kwa bei nafuu. Lakini unaweza kutana na kodi wakati wa kusafirisha. Ambapo ukipiga hesabu ya jumla unaweza kuta tofauti ya bei ni ndogo sana.

N.B: The statement holds only if you consider bulky purchases

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kama unataka kufanya bishara usisikilize maneno ya watu ila kwa bidhaa ambazo unaweza weka kwenye begi hazina shida begi unabeba mwenyewe ila TV last time nchi 32 gharama yake ni elfu 30 kwa dar kupitisha ila zanzibar kule unaweza ukampa mfanyakazi wa AZAM mkakubaliana akaziingiza na akazitoa maana wanajua chocho gharama kidogo inapungua

Iila ukitaka upite mwenyewe hutoboi kingine kuna wale wabebaji na washusha mizigo pia unaweza ukaongea nao wakakufanyia kwa bei ya chini maana kama una mzigo mdogo wanachanganya kwa mtu mwenye mzigo mkubwa ili iwe rahisi kupita vitu vyako utavikuta nje ni biashara nzuri.
 
Mfano kama nikienda kununu Tv moja ya laki 350,000 nayo inalipiwa ushuru ? Na kitu kama hiyo PS ya kuweka kwa begi unalipia ushuru ? Na kama ushuru ni bei gani ?
Kitu chochote unachoweza kuweka kwenye bag hakina shida hyo nchi 32 mpaka inafika gharama yake inafika elfu 60 ila nchi 32 unaweza pata kwa bei ya laki 2 mpka laki 2 na elfu 20.
 
Kitu chochote unachoweza kuweka kwenye bag hakina shida hyo nchi 32 mpaka inafika gharama yake inafika elfu 60 ila nchi 32 unaweza pata kwa bei ya laki 2 mpka laki 2 na elfu 20.
Nashukuru sana! Wewe upo Zanzibar?
 
Kule unapata kwa bei nafuu. Lakini unaweza kutana na kodi wakati wa kusafirisha. Ambapo ukipiga hesabu ya jumla unaweza kuta tofauti ya bei ni ndogo sana.

N.B: The statement holds only if you consider bulky purchases

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu hata ukiweka kwenye begi unapigwa kodi
 
pwilo na nikishainunua nchi 32 na kulipia mpaka elfu 60 kazi inakuwa tayarr
Hapana yaani kuna mtaa unaitwa kwa mchina huko ndo kuna vitu used kama pasi tv blender na heater kwa hyo bei inategemea ukikuta mzigo umeshushwa vitu vinakuwa rahisi ila mda mwingine mizigo inachelewa bandarini hvyo vitu vinakuwa ghali kwa hyo unaenda kwa timing unachukua unaenda mpaka bandarini ukifika pale unaweza uka bargain na wale wafanyakazi wa AZAM au wale wabeba mizigo au ukiamua unaweza ukasafirisha usiku kuna meli ya mizigo huwa unaondoka usiku mnafika asubuh mapema unawahi kutoka kabla vibaka wa tra hawajaja ila ni bora ukatafuta wale wafanyakazi wa AZAM una mpoza anaingiza ndani na dar pia atakutolea mpaka nje
 
biashara ya muungano ni biashara kichaa man. esp trading bidhaa kitoka zanz kuja bara, ina risks nyingi sana ambapo ukizicalculate gharama zinakua kubwa kuliko kutrade locally.(bara). kwanza uaminifu wa wafanyabiashara ni mdogo..waweza funga mzigo wa kwanza safi wa pili ukasema nipige simu tu uletwe ukakwama mazoma, bidhaa zao sio za kisasa esp kwenye mitumba, wao wanatumia vikiharibika hawamind kufix sababu kwao hivyo vitu wanatumiwa na relatives london na uae ..ushuru mkubwa apo bandari, transport cost inakupiga.
 
biashara ya muungano ni biashara kichaa man. esp trading bidhaa kitoka zanz kuja bara, ina risks nyingi sana ambapo ukizicalculate gharama zinakua kubwa kuliko kutrade locally.(bara). kwanza uaminifu wa wafanyabiashara ni mdogo..waweza funga mzigo wa kwanza safi wa pili ukasema nipige simu tu uletwe ukakwama mazoma, bidhaa zao sio za kisasa esp kwenye mitumba, wao wanatumia vikiharibika hawamind kufix sababu kwao hivyo vitu wanatumiwa na relatives london na uae ..ushuru mkubwa apo bandari, transport cost inakupiga.
Sasa mkuu nikinunua ps4 slimbili nikazisweka kwenye begi la mgongoni bado tra watanidaka?
 
Back
Top Bottom