Aliyewahi kwenda Zanzibar kununua vitu vya electronic bei ipoje?

Aliyewahi kwenda Zanzibar kununua vitu vya electronic bei ipoje?

Hapana yaani kuna mtaa unaitwa kwa mchina huko ndo kuna vitu used kama pasi tv blender na heater kwa hyo bei inategemea ukikuta mzigo umeshushwa vitu vinakuwa rahisi ila mda mwingine mizigo inachelewa bandarini hvyo vitu vinakuwa ghali kwa hyo unaenda kwa timing unachukua unaenda mpaka bandarini ukifika pale unaweza uka bargain na wale wafanyakazi wa AZAM au wale wabeba mizigo au ukiamua unaweza ukasafirisha usiku kuna meli ya mizigo huwa unaondoka usiku mnafika asubuh mapema unawahi kutoka kabla vibaka wa tra hawajaja ila ni bora ukatafuta wale wafanyakazi wa AZAM una mpoza anaingiza ndani na dar pia atakutolea mpaka nje
Ila mkuu hapo kuongea na watoa huduma wa azam kama mgeni nao si wanaweza kukupiga
 
Hapana yaani kuna mtaa unaitwa kwa mchina huko ndo kuna vitu used kama pasi tv blender na heater kwa hyo bei inategemea ukikuta mzigo umeshushwa vitu vinakuwa rahisi ila mda mwingine mizigo inachelewa bandarini hvyo vitu vinakuwa ghali kwa hyo unaenda kwa timing unachukua unaenda mpaka bandarini ukifika pale unaweza uka bargain na wale wafanyakazi wa AZAM au wale wabeba mizigo au ukiamua unaweza ukasafirisha usiku kuna meli ya mizigo huwa unaondoka usiku mnafika asubuh mapema unawahi kutoka kabla vibaka wa tra hawajaja ila ni bora ukatafuta wale wafanyakazi wa AZAM una mpoza anaingiza ndani na dar pia atakutolea mpaka nje
Aaseeeh nashukuru sanaaa !! Maaana nataka nikanunue laptop na Samsung z fold 3 kule nimeona ni 1.2 milioni !! Huku bara 3.6 nazani kwa vitu hivyo sitapata challenge
 
Kama unataka kufanya bishara usisikilize maneno ya watu ila kwa bidhaa ambazo unaweza weka kwenye begi hazina shida begi unabeba mwenyewe ila TV last time nchi 32 gharama yake ni elfu 30 kwa dar kupitisha ila zanzibar kule unaweza ukampa mfanyakazi wa AZAM mkakubaliana akaziingiza na akazitoa maana wanajua chocho gharama kidogo inapungua

Iila ukitaka upite mwenyewe hutoboi kingine kuna wale wabebaji na washusha mizigo pia unaweza ukaongea nao wakakufanyia kwa bei ya chini maana kama una mzigo mdogo wanachanganya kwa mtu mwenye mzigo mkubwa ili iwe rahisi kupita vitu vyako utavikuta nje ni biashara nzuri.
Nimeipenda hii
 
Kama unataka kufanya bishara usisikilize maneno ya watu ila kwa bidhaa ambazo unaweza weka kwenye begi hazina shida begi unabeba mwenyewe ila TV last time nchi 32 gharama yake ni elfu 30 kwa dar kupitisha ila zanzibar kule unaweza ukampa mfanyakazi wa AZAM mkakubaliana akaziingiza na akazitoa maana wanajua chocho gharama kidogo inapungua

Iila ukitaka upite mwenyewe hutoboi kingine kuna wale wabebaji na washusha mizigo pia unaweza ukaongea nao wakakufanyia kwa bei ya chini maana kama una mzigo mdogo wanachanganya kwa mtu mwenye mzigo mkubwa ili iwe rahisi kupita vitu vyako utavikuta nje ni biashara nzuri.
Mkuu pwilo kolo og,una uzoefu wa kujua kodi ya kuingiza gari bara kutoka zanzibar?
 
Sasa mkuu nikinunua ps4 slimbili nikazisweka kwenye begi la mgongoni bado tra watanidaka?
inaweza kuona ama isionwe. weka na nguo pia usiweke electronics zenye asili ya vyuma au vyenye betri.. weka na nguo ili kwenye scanner vipite. adapotor zake tafuta mbovu af zikate ziwe bila vichwa ikitokea wakaziona declair ni used umenunua zikiwa mbovu( kama spare)
 
Nimeshawahi kwenda Zenji kununua laptop na ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza, picha linaanza watu wanauza kama hawauzi (customer care) mbovu sijawahi ona, pili quality ambao nilikuwa naitafuta hamna. Nilijuta zaidi labda nilienjoy bahari tu. Kufika K/koo kwa Wasomali nikipata mbonge la HP. Ushauri, go for your own risk but Bongo is the best.
 
Nimeshawahi kwenda Zenji kununua laptop na ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza, picha linaanza watu wanauza kama hawauzi (customer care) mbovu sijawahi ona, pili quality ambao nilikuwa naitafuta hamna. Nilijuta zaidi labda nilienjoy bahari tu. Kufika K/koo kwa Wasomali nikipata mbonge la HP. Ushauri, go for your own risk but Bongo is the best.
Dah bora
inaweza kuona ama isionwe. weka na nguo pia usiweke electronics zenye asili ya vyuma au vyenye betri.. weka na nguo ili kwenye scanner vipite. adapotor zake tafuta mbovu af zikate ziwe bila vichwa ikitokea wakaziona declair ni used umenunua zikiwa mbovu( kama spare)
Bora mkuu umenifungua macho maana niliambiwa items zinazoingia kwenye beg la mgongoni hulipi kodi kama ningeenda kichwakichwa ingekula kwangu
 
Aaseeeh nashukuru sanaaa !! Maaana nataka nikanunue laptop na Samsung z fold 3 kule nimeona ni 1.2 milioni !! Huku bara 3.6 nazani kwa vitu hivyo sitapata challenge
Havina shida mkuu hvyo au ukiona vipi unatafuta mshikaji wa karibu ambaye umepanda naye unamwomba anabeba na yeye baadhi mnatoka wote nje anakupa ila sidhani kama itakuwa changamoto hyo TV sana sana ndo wanakomaa nazo.
 
Havina shida mkuu hvyo au ukiona vipi unatafuta mshikaji wa karibu ambaye umepanda naye unamwomba anabeba na yeye baadhi mnatoka wote nje anakupa ila sidhani kama itakuwa changamoto hyo TV sana sana ndo wanakomaa nazo.
Kwahiyo mkuu unataka sema nikibeba ps4 slim mbili nikizisweka kwenye begi nitàlipa kodi maana nilisikia kuna scanner (metal detector)
 
Nimepata dili la kuja zenji jamaa angu ananiambia kuna lg smart tv nchi 43 zoote mbili kwa laki 7 brand new. Aseee naja
 
Havina shida mkuu hvyo au ukiona vipi unatafuta mshikaji wa karibu ambaye umepanda naye unamwomba anabeba na yeye baadhi mnatoka wote nje anakupa ila sidhani kama itakuwa changamoto hyo TV sana sana ndo wanakomaa nazo.
Mkuu ni vitu used tu ndo bei chee au hata vya dukani navyo bei chee na eneo gani vinapatikana zaidi
 
Wajuvi nina mpango wa kwenda Zanzibar kununua vitu used vya electronic kama ps3, ps4 na computer je hivi vitu vinapatikana kwa bei rahisi kweli na upatikanaji wake upoje na vipi kuhusu kodi
Mkuu nicheki nikuagizie direct kutoka Dubai.
whatsapp +971527794329
 
Back
Top Bottom