kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
Usijidanganye,bora ununue hapo kkoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una kampuni na vipi kuhusu uaminifu maana wapigaji ni wengiMkuu nicheki nikuagizie direct kutoka Dubai.
whatsapp +971527794329
Tatizo unashindwa kutofautisha kati ya kodi na gatepass kodi inategemea na ukubwa wa mzigo ila gatepass ni compulsory yaani lazima ulipe ambayo kwa zanzibar kule ilikuwa unalipa elfu 5 kama gatepass na dar ni elfu 9 ukibeba TV chini ya nchi 32 unalipa tu gatepass mimi nilikuwa nabeba TV nchi 24 nafunga mbili mbili nabeba na kwenye begi langu nina pass nina heater na blender hyo scanning unayozungumzia lengo lake kubwa ni kukagua vitu visivyoruhusiwa kubebwa kama bangi na madawa ya kulevya pamoja na silaha hatarishi ila sio kwamba inakagua vitu ulivyobeba wakukamate narudia kitu chochote unachoweza kubeba mwenyewe aidha kwenye begi au mkononi vidogo vidogo kama nilivyotelea mfano havina shida mkuu na jamaa wa AZAM ukiwa tayari nitakupa namba zake PM utamcheck yeye ndo mambo yake hayo.Kwahiyo mkuu unataka sema nikibeba ps4 slim mbili nikizisweka kwenye begi nitàlipa kodi maana nilisikia kuna scanner (metal detector)
Mkuu ni vitu used tu ndo bei chee au hata vya dukani navyo bei chee na eneo gani vinapatikana zaidiTatizo unashindwa kutofautisha kati ya kodi na gatepass kodi inategemea na ukubwa wa mzigo ila gatepass ni compulsory yaani lazima ulipe ambayo kwa zanzibar kule ilikuwa unalipa elfu 5 kama gatepass na dar ni elfu 9 ukibeba TV chini ya nchi 32 unalipa tu gatepass mimi nilikuwa nabeba TV nchi 24 nafunga mbili mbili nabeba na kwenye begi langu nina pass nina heater na blender hyo scanning unayozungumzia lengo lake kubwa ni kukagua vitu visivyoruhusiwa kubebwa kama bangi na madawa ya kulevya pamoja na silaha hatarishi ila sio kwamba inakagua vitu ulivyobeba wakukamate narudia kitu chochote unachoweza kubeba mwenyewe aidha kwenye begi au mkononi vidogo vidogo kama nilivyotelea mfano havina shida mkuu na jamaa wa AZAM ukiwa tayari nitakupa namba zake PM utamcheck yeye ndo mambo yake hayo.
Haizidi elfu ishiriniMfano kama nikienda kununu Tv moja ya laki 350,000 nayo inalipiwa ushuru? Na kitu kama hiyo PS ya kuweka kwa begi unalipia ushuru? Na kama ushuru ni bei gani?
Sema mnafichua Siri asee[emoji849]Hapana yaani kuna mtaa unaitwa kwa mchina huko ndo kuna vitu used kama pasi tv blender na heater kwa hyo bei inategemea ukikuta mzigo umeshushwa vitu vinakuwa rahisi ila mda mwingine mizigo inachelewa bandarini hvyo vitu vinakuwa ghali kwa hyo unaenda kwa timing unachukua unaenda mpaka bandarini ukifika pale unaweza uka bargain na wale wafanyakazi wa AZAM au wale wabeba mizigo au ukiamua unaweza ukasafirisha usiku kuna meli ya mizigo huwa unaondoka usiku mnafika asubuh mapema unawahi kutoka kabla vibaka wa tra hawajaja ila ni bora ukatafuta wale wafanyakazi wa AZAM una mpoza anaingiza ndani na dar pia atakutolea mpaka nje
Hawana hizo pigo za kishamba kama bongoIla mkuu hapo kuongea na watoa huduma wa azam kama mgeni nao si wanaweza kukupiga
100%Mkuu una kampuni na vipi kuhusu uaminifu maana wapigaji ni wengi
Sema mnafichua Siri asee[emoji849]
Nakumbuka nilienda kununua tv used inchi 46 kwa 550k .ilikaa mwezi tu ikagharibika.kuna wapemba ni washenzi aiseeee
Kwa Bei ya 350 ushuru Ni sh elfu sitini bandarin 60,000. dar wakala anakutolea mzigo wako nje anakupa , na hiyo sitini unalipia kabisa kipindi unanunua mzigo mwenye duka anawasiliana na agent wake wewe unapokea mzigo bila Shaka ki halali kabsa.Mfano kama nikienda kununu Tv moja ya laki 350,000 nayo inalipiwa ushuru? Na kitu kama hiyo PS ya kuweka kwa begi unalipia ushuru? Na kama ushuru ni bei gani?
Kila kitu mkuu kule ni bei nafuu kidogoMkuu ni vitu used tu ndo bei chee au hata vya dukani navyo bei chee na eneo gani vinapatikana zaidi
Mkono mtupu fanya kazi na mabaharia wale wanajua chocho zote za mafisadiAsubuhi Ile meli haishushi mzigo kabla TRA hawajafika ng’o[emoji28][emoji28]
Mi nshalala na kulala baharini nitoe mzigo kilaini nikawakuta pale maskani yao
Siku hizi natumia agent yeye anapakilia mzigo na kushusha utaamua unaufuata au wakuletee ulipo
Bei inapungua
Mkono mtupu fanya kazi na mabaharia wale wanajua chocho zote za mafisadi
Nyoosha maelezo mkuu taratibu za kutumia ajent zipoje na kwa tv ya inch 43 ajent analipwa pesa ngapi na huyo ajent ni wa bongo au visiwaniMi sitoi mzigo wowote nowdays
Nanyoosha miguu unanifikia ulipo
Nimeandika hapo natumia agents.
pwilo mbona mwana sana,hanaga noma sema sijui nini kilimfanya akasapoti makolo🤣🤣🤣🤣
We jamaa unazingua