Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pemba ipi mkuu[emoji2][emoji2][emoji2]Ukitaka bei rahisi ya vitu nenda pemba mkuu.
Angalia mzee usije kuingizwa mkenge.Nimepata dili la kuja zenji jamaa angu ananiambia kuna lg smart tv nchi 43 zoote mbili kwa laki 7 brand new. Aseee naja
Pemba kama pembaPemba ipi mkuu[emoji2][emoji2][emoji2]
Naomba connection ya huyo agent wa ZenjiAsubuhi Ile meli haishushi mzigo kabla TRA hawajafika ng’o[emoji28][emoji28]
Mi nshalala na kulala baharini nitoe mzigo kilaini nikawakuta pale maskani yao
Siku hizi natumia agent yeye anapakilia mzigo na kushusha utaamua unaufuata au wakuletee ulipo
Bei inapungua
Usiache kuleta mrejesho mzee.Aaseeeh nashukuru sanaaa !! Maaana nataka nikanunue laptop na Samsung z fold 3 kule nimeona ni 1.2 milioni !! Huku bara 3.6 nazani kwa vitu hivyo sitapata challenge
Sasa ndugu unataka nikwambie agent analipwa pesa ngapi unajua mimi natoa mzigo gan?Nyoosha maelezo mkuu taratibu za kutumia ajent zipoje na kwa tv ya inch 43 ajent analipwa pesa ngapi na huyo ajent ni wa bongo au visiwani
Kama upo serious na biashara hiyo mimi naweza kununua na kuvituma toka hapa Dubai kwakuwa sio vitu vikubwa sana wawezapata cheaper na quality nzuri kama upo serious PMWajuvi nina mpango wa kwenda Zanzibar kununua vitu used vya electronic kama ps3, ps4 na computer je hivi vitu vinapatikana kwa bei rahisi kweli na upatikanaji wake upoje na vipi kuhusu kodi