TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,095
![]()
MWANAFUNZI aliyeongoza mtihani wa kidato cha nne kitaifa mwaka 2010, Lucylight Mallya (18), amebainika kuwa ni yatima ambaye wazazi wake wote walifariki dunia miaka minne iliyopita.
Hongera sana Lucylight Mungu akutangulie kwa yote
