Aliyewapa tenda CCM kazi ya kutete DP world kwa wananchi ni nani? Amewapa shilingi ngapi?

Aliyewapa tenda CCM kazi ya kutete DP world kwa wananchi ni nani? Amewapa shilingi ngapi?

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
Kuna campaign nchi nzima na mikutano ya usiku na mchana kutetea uwekezaji Bandari ya Dar es salaam na uwekezaji wa baadae kwa Bandari zote za Tanzania kwa kampuni Moja tu ya DP World.

Hizi pesa za campaign zingewekezwa kwenye elimu na barabara nchi ingekuwa mbali kiuchumi. Mimi naona campaign hazina maana kabisa serikali iendelee tu na uwekezaji maana tayari Bunge limeridhia mkataba basi utekelezaji ianze Mara moja. Campaign ya nini sasa?

Mimi kifupi niulisoma kabla hata haujatapakaa binafsi niliona ni mkataba feki serikali haiwezi ku sign mkataba ule tena wenye sign ya rais. Niliona ni kashfa kubwa sana ya rushwa.

Baadae nikisikia kuna kikao club house cha Msemaji wa serikali na Mkurugenzi TPA. Nilishituka Mkurugenzi yule mzalendo akatuthibitishia ule ni mkataba halali nikaishiwa nguvu. Baada ya hapo nikajiona nipo gizani naota.
 
Umeandika upumbavu dada, na sidhani kama kuna wapumbavu wenzako watakaokupa Like hata tano.

Subiria uone uzi wako utakavyopuuzwa kwa kujipendekeza kwako ukifikiri eti wapumbavu wenzako watakuja kupongeza matapishi uliyoandika.
 
Umeandika upumbavu dada, na sidhani kama kuna wapumbavu wenzako watakaokupa Like hata tano.

Subiria uone uzi wako utakavyopuuzwa kwa kujipendekeza kwako ukifikiri eti wapumbavu wenzako watakuja kupongeza matapishi uliyoandika.
Siandiki kwa ajili ya like. Hapana ni naandika kwasababu nisipo andika Nani ataandika. Let me write nipe uhuru wangu. Vitabu hamnunui so nimeona niwaandikie msome. Ney wa mitego katunga nyimbo nzuri but haina views so Usijali.
 
Cha ajabu hawa watu wa ccm wanachotetea hawakijui kabisa!
Ndio maana klila anayetetea huu mkataba anaongea bila kuuchambua na pumba tupu!
Angalia wanaopinga huu mkataba wanaongea kwa kuchambua mkataba vilivyo!
 
Umeandika upumbavu dada, na sidhani kama kuna wapumbavu wenzako watakaokupa Like hata tano.

Subiria uone uzi wako utakavyopuuzwa kwa kujipendekeza kwako ukifikiri eti wapumbavu wenzako watakuja kupongeza matapishi uliyoandika.
Kichwani unazo kweli wewe !
Ungekaa kimya ingekusaidia kuficha ujinga wako!
 
Cha ajabu hawa watu wa ccm wanachotetea hawakijui kabisa!
Ndio maana klila anayetetea huu mkataba anaongea bila kuuchambua na pumba tupu!
Angalia wanaopinga huu mkataba wanaongea kwa kuchambua mkataba vilivyo!
Ni dharau kiongozi uliyepewa dhamana ukasema uongo
 
Umeandika upumbavu dada, na sidhani kama kuna wapumbavu wenzako watakaokupa Like hata tano.

Subiria uone uzi wako utakavyopuuzwa kwa kujipendekeza kwako ukifikiri eti wapumbavu wenzako watakuja kupongeza matapishi uliyoandika.
Like atazipata san na quote za kutosha!! Kwanza ww utakua ni mmoja wa wahongwa bahasha!!
 
Back
Top Bottom