Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ni Wapi nmejihami?EEEEnHEEEEE!
Mbona unajihami mapema hivyo!
Mimi sina sababu ya kujificha kwenye vichaka kama unavyotaka kufanya wewe.
Huwa sina simile kabisa na 'pretenders' wa aina yako.
Ninani miaka ya 1959 wanaonyeshwa kusaidiwa na UN kufika Congo?
Jeshi letu lenyewe limekua na uswahili mwingi, yani Askari wetu wa mchongo mchongo tu yani hawana sifa wengi wao wameingia kwasababu hakuna Ajira.Baada ya kuiharibu nchi, mifumo yake na vyombo vyake nyie nzi wa kijani ndo mnakuja na siasa zenu mfu?
Hamkuyaona haya wakati mnaingiza siasa Jeshini na kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?
Ndo mjue mmeliharibu na kuliangamiza hili taifa wajinga nyie
Naona una matatizo wewe.Je ni Wapi nmejihami?
Jibu swali kwanza..!
Usipotezee mada ulyoanzisha naona unajb tofaut na nichoulza
Tunatakiwa kwenda kuokoa jahazi, au wewe unaonaje?Kuna compromise pahala wanajuana behind the scene ndio maana kampiga mkwara, ha hii ilivyotokea it wa a strategic move... watu wa mayenu wametuangusha
Sawa mTanzania mwenzang, nazan watakua wamekuelewa hao wanaopima kina cha maj kwa mguu.Naona una matatizo wewe.
Mimi nimeanzisha mada ipi unayosema "usipotezee"?
Naelewa Kagame anao watu wake hapa ambao kila siku wanahaha Tanzania inafanya nini.
Kamwambie athithubutu, kama anavyowafanyia huko kwingine.
Kama wewe umekubali kuja kuishi na kujitambulisha kama mTanzania, achana kabisa na siasa za huko ulikotoka. Tutaku'treat' kutokana na matendo yako. Kama unajivisha uTanzania huku ukifanya mambo yanayo hatarisha usalama wetu, hatutasita kukupasha ipasavyo.
Usifikiri mtakuwa na mwanya wa kufanya hapa kama wenzenu M23 wanavyo fanya huko Kongo. Rwanda ni nchi ndogo tu, na itabaki kuwa hivyo; msidhani kutakuwepo na himaya kubwa ya kujitanua kwa kuvamia kinyemela sehemu za majirani zenu mnakopeleka watu wenu.
Sasa, kama bado hujanielewa, wewe utakuwa ni kihiyo kwelikweli.
kwenye wazir pia mama etu hapo ikija fita ni changamoto. lazma waombe ushaur kwa wanaumeKiukweli ile ni meseji tumetumiwa, ni muda sasa kwa jw kua mguu sawa kwa chochote na kuongeza ulinzi katika mipaka yetu. Natamani piq waziri wa ulinzi awe mtu mwenye history ya jeshi ameuzuria mission kazaa awe mtu mwenye roho mbaya no mercy. Asiwe mtu wa diplomatic