EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Wewe mtu wa hovyo sana unajuaje kama kila mtu ameiona hiyo video,shush video kusapoti mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rwanda siyo ya kubeza kijeshi, Kama ilivyo kawaida ya madikteta wengi, Kagame ameimarisha sana jeshi,Sasa kama jirani mwenyewe nae hata ‘adder’ nyoka ambae hana sumu kuua; kumsogelea hawezi. Wakati adder unaweza kumkamata hata kwa mkono tu, huyo wa kwenda kumsaidia kweli.
Rwanda aina ubavu wa kupambana na Tanzania strategically kijiografia, uwezo wa kivita na size of the army.
Mengine ni upuuzi tu wa wanyarwanda wa JF kujitekenya na kucheka wenyewe.
Kweli swali la mtoa mada kwa nini kuposti iyo vedio? Kulikua na umuhim ganiHiyo ni kawaida tu! Ni taratibu za kila nchi kuhakiki wageni.
Na. Kagame akija tumdhalilishe na kutuma picha, yatalalamika mwaka mzima matutsi.Achana nae pandikizi la Kagame.
Mtoto mkorofi akitaka kupigwa huanza vurugu, na kujifanya mwehu haambiliki anarusha vitu, anatupa mawe nk. Ipo siku huyu mwehu Kagame, atapigiwa tu, Mizengo Pinda aliwahi kusema Bungeni, mtu mkorofi, apigwe tu. Nyerere aliwahi kusema kwa Idi Amin, sababu, nia na uwezo wa kumpiga tunao. Na atapigiwa tu.Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.
Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.
Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Kabla ya hata kupeleka wanajeshi tuna-chock uchumi wao kwa kukata supply ya mafuta na chakula (heavily dependant kutoka Tanzania).Rwanda siyo ya kubeza kijeshi, Kama ilivyo kawaida ya madikteta wengi, Kagame ameimarisha sana jeshi,
Alivyokuwa anamwambia raisi wa Afrika kusini kwamba jeshi lake siyo militia, it is an army alikuwa anamaanisha.
Jeshi la Rwanda liko well trained and well armed, linatoka kwny historia ya RPF msituni kabla ya genocide, ambapo lilisifika kwa nidhamu.
Sisi tunaweza kuwashinda lakini siyo kirahisi, ukubwa wa jeshi(wingi wa wanajeshi)huwa hausaidii sana.
Inasemekana Kagame kapeleka wanajeshi 4000 tu DRC, lakini jeshi la Congo limepoteana.
Kwanini tupigane na Rwanda ?!!Jw ya sasa haina uwezo wa kumpiga Rwanda,dead walking army iliojaza mapandikizi ya UCCM na Machawa kwa mgongo wa koneksheni
Ingekuwa wewe ni rais ungekwenda kumpiga mama Joyce Banda kipindi kile cha sakata la ziwa Nyasa..... kwa jazba hizohizo alisimama kiongozi mmoja mwenye nguvu pale bungeni na kwa maneno makali akaitamani VITA na ndugu zetu wa MALAWI.....haya mambo hayahitaji JAZBA ,KUKURUPUKA,na kujifanya PATRON wa kila la wengine....Mtoto mkorofi akitaka kupigwa huanza vurugu, na kujifanya mwehu haambiliki anarusha vitu, anatupa mawe nk. Ipo siku huyu mwehu Kagame, atapigiwa tu, Mizengo Pinda aliwahi kusema Bungeni, mtu mkorofi, apigwe tu. Nyerere aliwahi kusema kwa Idi Amin, sababu, nia na uwezo wa kumpiga tunao. Na atapigiwa tu.
ccm wangesikia chadema wapo Goma wangepeleka jeshi kupambana vikaliKagame anaiba madini Congo, nyie mnaibiwa madini na mzungu, nani mjanja hapo?.
Mwacheni Kagame.
KAPIGWA TEROYani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.
Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.
Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
-Je alisechiwa kweli? Kama ni ukweli na si editing kuna tatizo gani au kuna sheria gani iliyovunjwa?Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.
Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.
Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Aliyefanya hivyo ametututkana WATANZANIA wote.
Rais Kagame anatakuwa aombe radhi kwa kitendo cha kureko
Huu ni ukweli mchungu lakini CCM hawako tayari kuukubali kwani wao na jeshi kwa pamoja ndiyo waliodhalilisha nchi na ndiyo wanaopaswa kuwajibishwa, wameliharibu jeshi limekuwa la hovyo likiwa limebaki na sifa za mdomoni ukiuliza watakwambia muulize Idd Amin(that was in the seventies and Amin is dead and forgotten long time ago) ndiyo utajua ukali wetu.Ujumbe ni kwamba Vikosi vyetu huko vimesarenda, sema hatuambiwi ukweli, Askari waliosarenda ndio husachiwa.
Hatuambiwi ukweli tu na hawa Viongozi wa mboga mboga fc.
Tutawaadhibu kwenye Box la kura kwa kulidhalilisha Jeshi letu la Wananchi.
Aliyefanya hivyo ametututkana WATANZANIA wote.
Rais Kagame anatakuwa aombe radhi kwa kitendo cha kureko
The winner is the one who writes the history, toka enzi na enzi iko hivyo.Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba Kitendo hicho ni miongoni mwa Propaganda za Vita (War Propaganda) ambapo yule aliyeshinda Vita anaonyesha Umwamba wake baada ya kupata Ushindi Mkubwa katika Uwanja wa Mapigano ya Vita. Hivyo, anafanya hivyo ili kuonyesha Dhihaka na Kejeli kwa wale walioshindwa Vita.
And in actual facts, Rwandan Forces and M23 Forces has won the Tremendous Victory, while DRC Forces together with all their counterparts including TPDF has accepted the Catastrophic Defeat!
Huu ndio Ukweli mchungu Sana ambao Kamwe hauwezi kupingika Wala kufichika.
Aidha, tukumbuke kwamba kwa scenario ya hiyo Vita huko Kivu-Goma, DRC, Askari wa nchi yetu walikuwa miongoni mwa Wanajeshi Mateka waliokuwa chini ya Vikosi vya Waasi wa M23 na Rwanda baada ya Waasi hao kushinda Vita.
Kwa jinsi ninavyofahamu, endapo kama kweli Vikosi vyetu vilikuwa vipo huru huko Goma baada ya Waasi kuuteka mji huo, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba Wanajeshi hao wa Tanzania na Wanajeshi wengine wa SADC wangerejea katika nchi zao kwa kupitia mipaka ya nchi zingine lakini siyo Rwanda. Mathalani, Wanajeshi hao wa Tz wangeweza kupata safe passage kutoka kwa Waasi wa M23 ili waweze kutoka Goma na kupitia kwenye miji mingine ya nchi hiyo ya DRC Kama vile kutumia Uwanja wa ndege wa Kinshasa ili kurejea nyumbani.
PichaYani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.
Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.
Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
100%✓Hivi nchi ambayo una ugomvi nayo askari wako ambae kavaa combat za jeshi anaweza ingia kwenye mpaka wao bila ya wasiwasi wowote.
Watanzania tunaishi kwenye dunia yetu; mie mada zingine uwa naona kama wa-Congo na wanyarwanda wanataka kuingiza Tanzania katika migogoro yao.
Wapambane na hali yao tu, Tanzania aihusiki na wasitulazimishe kuingilia. Safari hii wazungu waletę wanajeshi wao huko ndio wenye shida na hizo rare earth mineral.
Siku Tanzania ikiwa na shida na nchi jirani waziri wa ulinzi au wa mambo ya nje wataongea; sio hizi mada za wa-Congo (wanaoishi Tanzania) na wanyarwanda wanaoishi Tanzania; kutulazimisha kuingilia. Mpambane na hali zenu.