Aliyeweka video ya mwanajeshi akisachiwa kwenye mitandao kwani anatuma ujumbe gani?

Aliyeweka video ya mwanajeshi akisachiwa kwenye mitandao kwani anatuma ujumbe gani?

Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.

Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.

Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Jeshi limeidhalilisha nchi
 
Ujumbe ni kwamba Vikosi vyetu huko vimesarenda, sema hatuambiwi ukweli, Askari waliosarenda ndio husachiwa.

Hatuambiwi ukweli tu na hawa Viongozi wa mboga mboga fc.

Tutawaadhibu kwenye Box la kura kwa kuludhalilisha Jeshi letu la Wananchi.
If you build an army of 100 lions and their leader is a dog, in any fight, the lions will die like a dog. But if you build an army of 100 dogs and their leader is a lion, all dogs will fight like a lion.” Napoleon Bonaparte.

Jeshi la simba linaongozwa na mbwa, haya ndio matokeo yake.

1740999278055.png
 
Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.

Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.

Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Ujumbe ni kwamba Vikosi vyetu huko vimesarenda, sema hatuambiwi ukweli, Askari waliosarenda ndio husachiwa.

Hatuambiwi ukweli tu na hawa Viongozi wa mboga mboga fc.

Tutawaadhibu kwenye Box la kura kwa kulidhalilisha Jeshi letu la Wananchi.
Aliyefanya hivyo ametututkana WATANZANIA wote.

Rais Kagame anatakuwa aombe radhi kwa kitendo cha kurekodi ilo tukio na kusamabaza kwenye mitandao ya kijamaii.

Kusachiwa sio kosa ila kutekodiwa na kusambaza ni tuzi kubwa kwa Watanzania.

Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba Kitendo hicho ni miongoni mwa Propaganda za Vita (War Propaganda) ambapo yule aliyeshinda Vita anaonyesha Umwamba wake baada ya kupata Ushindi Mkubwa katika Uwanja wa Mapigano ya Vita. Hivyo, anafanya hivyo ili kuonyesha Dhihaka na Kejeli kwa wale walioshindwa Vita.

And in actual facts, Rwandan Forces and M23 Forces has won the Tremendous Victory, while DRC Forces together with all their counterparts including TPDF has accepted the Catastrophic Defeat!
Huu ndio Ukweli mchungu Sana ambao Kamwe hauwezi kupingika Wala kufichika.

Aidha, tukumbuke kwamba kwa scenario ya hiyo Vita huko Kivu-Goma, DRC, Askari wa nchi yetu walikuwa miongoni mwa Wanajeshi Mateka waliokuwa chini ya Vikosi vya Waasi wa M23 na Rwanda baada ya Waasi hao kushinda Vita.
Kwa jinsi ninavyofahamu, endapo kama kweli Vikosi vyetu vilikuwa vipo huru huko Goma baada ya Waasi kuuteka mji huo, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba Wanajeshi hao wa Tanzania na Wanajeshi wengine wa SADC wangerejea katika nchi zao kwa kupitia mipaka ya nchi zingine lakini siyo Rwanda. Mathalani, Wanajeshi hao wa Tz wangeweza kupata safe passage kutoka kwa Waasi wa M23 ili waweze kutoka Goma na kupitia kwenye miji mingine ya nchi hiyo ya DRC Kama vile kutumia Uwanja wa ndege wa Kinshasa ili kurejea nyumbani.
 
Hatuna shida na Rwanda... katukosea nini? Yeye mwenyewe anasema hana mahusiano na M23. Sisi tulienda kulinda amani tu ambapo kwa sasa haiwezekani tena. Tanzania tunapaswa kuanza kufikiria kama mabeberu nyakati hizi.
 
uzuri mama kajikita kwenye nishati Safi na mitungi ya gesi na mambo ya PPP wanajenga fremu kariakoo kwa ubia vita za nini tena
 
Hatuna shida na Rwanda... katukosea nini? Yeye mwenyewe anasema hana mahusiano na M23. Sisi tulienda kulina amani tu ambapo kwa sasa haiwezekani tena. Tanzania tunapaswa kuanza kufikiria kama mabeberu nyakati hizi.
Kuna zile video Jw waki Wachapa M23 na BM while waki shangilia ni walikua wanalinda amani pia sio
 

Attachments

  • Screenshot_20250303_171046_Google.jpg
    Screenshot_20250303_171046_Google.jpg
    344.1 KB · Views: 1
Nchi hizi mbili zitunze kisasi hiki muhimu dhidi ya Rwanda. Ukifika wakati sahihi tupige haswa bila huruma.
Baada ya kuiharibu nchi, mifumo yake na vyombo vyake nyie nzi wa kijani ndo mnakuja na siasa zenu mfu?

Hamkuyaona haya wakati mnaingiza siasa Jeshini na kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?

Ndo mjue mmeliharibu na kuliangamiza hili taifa wajinga nyie
 
Back
Top Bottom