Aliyeweka video ya mwanajeshi akisachiwa kwenye mitandao kwani anatuma ujumbe gani?

Aliyeweka video ya mwanajeshi akisachiwa kwenye mitandao kwani anatuma ujumbe gani?

Kuna zile video Jw waki Wachapa M23 na BM while waki shangilia ni walikua wanalinda amani pia sio
Yes haikatazwi kujilinda uso kwa kurusha ngumi ndo maana wanakuwa na vifaa vya kawaida tu. Tangu wakati wa vita ya Uganda Tanzania haijaingia vitani tena.
 
Nchi hizi mbili zitunze kisasi hiki muhimu dhidi ya Rwanda. Ukifika wakati sahihi tupige haswa bila huruma.
Daaah, Kagame ananikera kinoma, ningekuwa amiri jeshi mkuu sijui ningemfanyaje.

Wazo lako ni zuri, lakini sasa anazidi kuiteka Congo na kupora madini, atatajirika na kujiimarisha zaidi.

Nafikiri sasa ni wakati mzuri wa kumkabili, sababu tunayo, tunaenda kuilinda Congo dhidi ya waasi.

Ni kuwagonga waasi wanakimbilia Kigali, halafu mnawafuata hukohuko.

Mnaungana nchi kama tatu, kama ulivyosema sisi na South, lakini pia ana uadui na Burundi, na yeye anatia timu.

Anapigika tu vizuri hadi anakimbia nchi kama Idd Amin.
 
Hivi nchi ambayo una ugomvi nayo askari wako ambae kavaa combat za jeshi anaweza ingia kwenye mpaka wao bila ya wasiwasi wowote.

Watanzania tunaishi kwenye dunia yetu; mie mada zingine uwa naona kama wa-Congo na wanyarwanda wanataka kuingiza Tanzania katika migogoro yao.

Wapambane na hali yao tu, Tanzania aihusiki na wasitulazimishe kuingilia. Safari hii wazungu waletę wanajeshi wao huko ndio wenye shida na hizo rare earth mineral.

Siku Tanzania ikiwa na shida na nchi jirani waziri wa ulinzi au wa mambo ya nje wataongea; sio hizi mada za wa-Congo (wanaoishi Tanzania) na wanyarwanda wanaoishi Tanzania; kutulazimisha kuingilia. Mpambane na hali zenu.
 
Hivi nchi ambayo una ugomvi nayo askari wako ambae kavaa combat za jeshi anaweza ingia kwenye mpaka wao bila ya wasiwasi wowote.

Watanzania tunaishi kwenye dunia yetu; mie mada zingine uwa naona kama wa-Congo na wanyarwanda wanataka kuingiza Tanzania katika migogoro yao.

Wapambane na hali yao tu, Tanzania aihusiki na wasitulazimishe kuingilia. Safari hii wazungu wale leje wanajeshi wao huko ndio wenye shida na hizo rare earth mineral.

Siku Tanzania ikiwa na shida na nchi jirani wa ulinzi au wa mambo ya nje wataongea; sio hizi mada za wa-Congo (wanaoishi Tanzania) na wanyarwanda wanaoishi Tanzania; kutulazimisha kuingilia. Mpambane na hali zenu.
Mkuu, nyoka akimvamia jirani yako, ukashindwa kwenda kusaidia kwa kudhani kuwa hayakuhusu,

Nyoka akimalizana na jirani atakuja kwako, ni bora kumuwahi akiwa bado kwa jirani.

Nafikiri umeelewa vizuri.
 
Mkuu, nyoka akimvamia jirani yako, ukashindwa kwenda kusaidia kwa kudhani kuwa hayakuhusu,

Nyoka akimalizana na jirani atakuja kwako, ni bora kumuwahi akiwa bado kwa jirani.

Nafikiri umeelewa vizuri.
Sasa kama jirani mwenyewe nae hata ‘adder’ nyoka ambae hana sumu kuua; kumsogelea hawezi. Wakati adder unaweza kumkamata hata kwa mkono tu, huyo wa kwenda kumsaidia kweli.

Rwanda aina ubavu wa kupambana na Tanzania strategically kijiografia, uwezo wa kivita na size of the army.

Mengine ni upuuzi tu wa wanyarwanda wa JF kujitekenya na kucheka wenyewe.
 
Hivi nchi ambayo una ugomvi nayo askari wako ambae kavaa combat za jeshi anaweza ingia kwenye mpaka wao bila ya wasiwasi wowote.

Watanzania tunaishi kwenye dunia yetu; mie mada zingine uwa naona kama wa-Congo na wanyarwanda wanataka kuingiza Tanzania katika migogoro yao.

Wapambane na hali yao tu, Tanzania aihusiki na wasitulazimishe kuingilia. Safari hii wazungu wale leje wanajeshi wao huko ndio wenye shida na hizo rare earth mineral.

Siku Tanzania ikiwa na shida na nchi jirani wa ulinzi au wa mambo ya nje wataongea; sio hizi mada za wa-Congo (wanaoishi Tanzania) na wanyarwanda wanaoishi Tanzania; kutulazimisha kuingilia. Mpambane na hali zenu.
Hamtaweza kuelewa diplomasia ya vita kama mnadhan Tanzania hainufaiki na wala haistahiki kunufuaika na huo mgogoro..

Vita ni utajir vita ni mali... Badala kuzunguka zunguka kitafuta kodi za uchuuzi Tanzania inaweza ingia deals za minerals na DRC(pengine upo)

Tanzania haiwez kuacha rasilimali na bilateral trade na DRC kwa sababu kuna viongozi hawataki kuliona hili...

We can fight for them and gain alot from it...

DRC salama means prosperity for Tanzania.... Hakuna mbadala wake.
 
kutawaliwa na mwanamke, umeona yule askari wa JWTZ alivyodhalilishwa na polisi wa Rwanda? kagame katudharau sana.
 
Nchi hizi mbili zitunze kisasi hiki muhimu dhidi ya Rwanda. Ukifika wakati sahihi tupige haswa bila huruma.
Mkuu Chiembe with due respect....

Mkuu unamuona mh.Trump alivyo "game changer" na kuja na sera na njia zake mwenyewe za kulinda maslahi ya Marekani.....ni kwanini Tanzania iwe na uadui na jirani na ndugu zetu Rwanda ?!!

Is it overrated ?!!

I just think beyond the nutshell that whether the allegations against Rwanda is truly ,why should we bother by others who safeguard their interests in foreign countries ?!!

Why should we mingle with other people's interests while every sane person steadfast theirs?!!

I still believe my nation is far worthy than petty issues.....

Hebu tukubaliane kutokubaliana lakini ujirani na udugu ubaki milele dumu !!

#JMT milele daima!
 
Kuna zile video Jw waki Wachapa M23 na BM while waki shangilia ni walikua wanalinda amani pia sio
Unaweza kuwa unapiga Grad kumbe askari wa Kongo FRDC wameshawapigia M23 simu na wameondoka kwenye hizo positions unakuwa unapiga hiku unashangilia kumbe hola unahasarisha tu rockets.

FRDC hata Tishekedi mwenyewe sasa hivi haliamini ndio maana ameanzisha Wazalendo.

Chaos ya Kongo unaweza ukaaibika.
 
Hamtaweza kuelewa diplomasia ya vita kama mnadhan Tanzania hainufaiki na wala haistahiki kunufuaika na huo mgogoro..

Vita ni utajir vita ni mali... Badala kuzunguka zunguka kitafuta kodi za uchuuzi Tanzania inaweza ingia deals za minerals na DRC(pengine upo)

Tanzania haiwez kuacha rasilimali na bilateral trade na DRC kwa sababu kuna viongozi hawataki kuliona hili...

We can fight for them and gain alot from it...

DRC salama means prosperity for Tanzania.... Hakuna mbadala wake.
Tanzania tuna reserves kubwa ya rare earth mineral kushinda Congo; duniani wa tisa na Africa ni wa kwanza.

Yetu wenyewe kuchimba hatuna mtaji bi tozo kawapa wazungu baadhi ya maeneo karibu na bure tukishachukua na hiyo migodi ya Congo tufanye nayo nini.

Wacha watandikane, wapitishe tu hayo madini yao bandari yetu maisha yaendelee.

Congo imedekezwa vya kutosha, uwezi kuacha eneo lako lenye utajiri bila ya ulinzi; ili sio tatizo la jana; ni la miaka hawajifunzi tu wanasubiri Kenya, Tanzania na S.A iende wasaidia kila siku.

Tuache fate ichukue mkondo wake, East Congo.
 
Tanzania tuna reserves kubwa ya rare earth mineral kushinda Congo; duniani wa saba na Africa ni wa kwanza.

Yetu wenyewe kuchimba hatuna mtaji wa kuchimba, tukishachukua na hiyo migodi ya Congo tufanye nayo nini.

Wacha watandikane, wapitishe tu hayo madini yao bandari yetu maisha yaendelee.

Congo imedekezwa vya kutosha, uwezi kuacha eneo lako lenye utajiri bila ya ulinzi; ili sio tatizo la jana; ni la miaka hawajifunzi tu wanasubiri Kenya, Tanzania na S.A iende wasaidia kila siku.

Tuache fate ichukue mkondo wake, East Congo.
sijui umefanya research lini, hizo rare minerals nyingi kiasi hicho ziko wapi na ni za aina ipi?
 
Wakagi wanaenda walijua wanaenda kufanya nini
Jamani mpaka wa Rwanda Ndio salama kwa sasa kuvuka kuja TZ toka Congo DRC,sijui mnaelewa.
Hawajatekwa hao kuwa wamekamatwa wanarudi home Tz
 
sijui umefanya research lini, hizo rare minerals nyingi kiasi hicho ziko wapi na ni za aina ipi?
IMG_7741.jpeg
 
Nchi hizi mbili zitunze kisasi hiki muhimu dhidi ya Rwanda. Ukifika wakati sahihi tupige haswa bila huruma.
Mkuu SAMIDRC 1 imekwenda Congo na mandate ya ku-engage kwenye mapambano. Mission hiyo ilikuwa kupambana na adui moja kwa moja kuwateketeza. Nafasi hiyo muhimu ilipatikana mbona?

Baada ya M23 kugundua kuwa wakibakia kule misituni watateketezwa kwa ndege vita na mabomu ya grad.... Wakaamua kuingia mjini kupambana na SAMIDRC1 tena walitoa taarifa ya masaa 48...

Badala kupambana SAMIDRC1 wakaamua kunyoosha bendera nyeupe..... Hii ni wazi walishindwa pambano.

Sasa mkuu unawaombea mechi ya marudiano lini na wapi? 🤔
 
Back
Top Bottom