Aliyeweka video ya mwanajeshi akisachiwa kwenye mitandao kwani anatuma ujumbe gani?

Aliyeweka video ya mwanajeshi akisachiwa kwenye mitandao kwani anatuma ujumbe gani?

Askari wako wa jeshi alikuwa anapapaswa nyeti huku anarekodiwa na polisi force wa Rwanda na video ikarushwa mitandaoni. Hapo huoni kosa?
Umeona ulochoongea hapa na ulochoongea juu kulivyo na utofauti,hapa nimekuelewa mkuu
 
Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.

Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.

Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Ni mfezeesho mkuu, mmoja nimeona walianza na clip ya Kamanda wetu anahamasisha vijana wake “wapigwe hao kunguru wapigwe,” vijana wanaitikia “wapigwe”. Alafu inafuata hiyo video anasearchiwa akiwa mpooole.🥲🥲
 
Hakuna mtu aliye juu ya sheria ,kama askari polisi alikuwa anatimiza majukumu yake kisheria hakuna kosa ,wapo wanaovaa gwanda za jeshi(JW) lakini si wanajeshi(Matapeli) - Japo video sijaiona nimetoa mtazamo general.
Kosa sio kusachiwa, kosa ni kurekodiwa kisha kupostiwa kwenye mitandao ya kijamii watu mbona wagumu kuelewa? Rwanda wanatutafuta maneno walicho fanya ni udhalilishaji dhidi ya jeshi letu bora na zuri kabisa East Africa. Pia raia wa Rwanda wengi tu, walikuwa wana sambaza kwa kasi video hio mitandaoni ili kujipa ujiko ( kujipakulia minyama) kwamba wametuweza. Takataka hawa. 🚮
 
Kosa sio kusachiwa, kosa ni kurekodiwa kisha kupostiwa kwenye mitandao ya kijamii watu mbona wagumu kuelewa? Rwanda wanatutafuta maneno walicho fanya ni udhalilishaji dhidi ya jeshi letu bora na zuri kabisa East Africa. Pia raia wa Rwanda wengi tu, walikuwa wana sambaza kwa kasi video hio mitandaoni ili kujipa ujiko ( kujipakulia minyama) kwamba wametuweza. Takataka hawa. 🚮

Okay nilijua hiyo video ni ya kwetu nchini kumbe imerecordiwa na wanyarwanda...Kwa zaidi soma kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi.
 
Mkuu wakienda Lebanon ama Sudan wanapita kwenye nashine na ikilia wanapigiwa na kale kamashine kakushika sema Hawa khjihanai inabidi WATUMIE mkonooo kijiridhisha
 
Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.

Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.

Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.

Haya wameyataka wenyewe.

Tumekuwa tukishauri Sana hapa mtandaoni kwamba Wanajeshi wa nchi yetu warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu hii, lakini inavyoonekana Watawala wa nchi hawataki kusikia ushauri wetu huo. Matokeo yake ndio haya sasa.

Maandiko Matakatifu yanasema kwamba "Aonywaye Mara nyingi naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena."
(Mithali 29: 1)

Kama ni suala la Kulinda Amani, basi Jeshi linapaswa kupeleka Wanajeshi wake katika nchi za mbali, lakini siyo kwenda kulinda amani katika nchi ambazo ni majirani zetu. Hii ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi. Wanajeshi Wapiganaji wa Vikosi vya Kulinda amani vinapaswa kupelekwa katika nchi za mbali huko Kama vile kwa mfano Pakistan, Lebanon, Mynmar, Haiti, n.k.

All in all, Wanajeshi wetu wanapaswa kupelekwa kwenda kulinda amani katika nchi zingine lakini muda wote kabisa wanapaswa wasimame katika Upande wa HAKI. Wasiende huko ili kwenda kuwatetea au kuungana na Watawala wa huko ambao ni Wadhalimu. Ujumbe wa Kulinda Amani usititumwe ili kwenda kusaidia au kuungana na upande wa Wadhalimu.

Daima Tukumbuke kwamba 'ukiungana na Wadhalimu basi Wapenda HAKI hawatakuwa upande wako.'
 
Mkuu UNESCO wamepiga sana madini ya congo so HATA Hawa uwezi jua wanasaidia na un unashangaa kelele tu Nje akapela tupuu
Wale m23 wanapigana na fardc,fdrl na jeshi la burundi,vikosi SADC na monusco vimepewa mipaka yake ya kupigana na hao UN,siku hao m23 UN ikiwatambua kama kikundi cha kigaidi kama ilivyokua kwa unita ya savimbi,maji wataita mma
 
Wale m23 wanapigana na fardc,fdrl na jeshi la burundi,vikosi SADC na monusco vimepewa mipaka yake ya kupigana na hao UN,siku hao m23 UN ikiwatambua kama kikundi cha kigaidi kama ilivyokua kwa unita ya savimbi,maji wataita mma
Mkuu UN wako kazini wewe ..
 
Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.

Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.

Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Video hiyo ilitengenezwa kwa kusudi maalum, kufikisha ujumbe na kueneza propaganda.
Lakini wanasahau au hawajui maana itakavyo chukuliwa na hao wanao pelekewa ujumbe.
 
Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.

Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.

Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Tupe ushaur mkuu, tufanye nin?
 
Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.

Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.

Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Hii video imenihuzunisha sana.
 
Yani kumrekodi mwanajeshi akisachiwa na askari polisi na kupost ndiyo kuonyesha kuwa nyinyi si lolote? Nadhani wanamaanisha hivyo.

Kumrekodi askari akipigwa sachi kiasi kile kisha kutuma kwenye mitandao ni moja ya uchokozi kati ya nchi na nchi.

Poleni mnaoona ni jambo la kawaida kurekodiwa kule na kuwekwa hadharani mitandaoni.
Polisi wa nchi gani mkuu? Kama ni hapa kwetu wanachokitafuta watakipata muda si mrefu! Kwanza walishatangaziwa beef na Wajelajela! Shauri yao!
 
Back
Top Bottom