Aliyezusha kifo cha binti aliyebakwa Yombo atiwa mbaroni

Aliyezusha kifo cha binti aliyebakwa Yombo atiwa mbaroni

wakunyonya

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2024
Posts
520
Reaction score
1,414
Aliyesambaza taarifa kapatikana waarifu Bado hawajapatikana😂#

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo wilaya ya Kinondoni mkoani humo, kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo mitandaoni kuwa binti mkazi wa Yombo Dovya ambaye video zake zilisambaa mitandaoni akibakwa na kulawitiwa na vijana watano kuwa amekutwa tayari kashafariki dunia.

Kamanda Muliro amesema binti huyo anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai hajafa, kama ambavyo taarifa zimekuwa zikisambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii na kwamba uchunguzi wa tukio hilo la kikatili bado unaendelea.


Pia Soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

- Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam: Binti anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai, hajafa kama ambayo imeripotiwa katika baadhi ya mitandao
 
#Aliyesambaza taarifa kapatikana waarifu Bado hawajapatikana😂#

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo wilaya ya Kinondoni mkoani humo, kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo mitandaoni kuwa binti mkazi wa Yombo Dovya ambaye video zake zilisambaa mitandaoni akibakwa na kulawitiwa na vijana watano kuwa amekutwa tayari kashafariki dunia.

Kamanda Muliro amesema binti huyo anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai hajafa, kama ambavyo taarifa zimekuwa zikisambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii na kwamba uchunguzi wa tukio hilo la kikatili bado unaendelea.

#KitengeUpdates

Muliro buana ,watu wanataka waliobaka na aliyewatuma na sio huyo jamaa ambaye unaona kabisa ana tatizo la afya ya akili maana kikawaida 54 yrs hauwezi kufanya aliyoyafanya.
 
#Aliyesambaza taarifa kapatikana waarifu Bado hawajapatikana😂#

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo wilaya ya Kinondoni mkoani humo, kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo mitandaoni kuwa binti mkazi wa Yombo Dovya ambaye video zake zilisambaa mitandaoni akibakwa na kulawitiwa na vijana watano kuwa amekutwa tayari kashafariki dunia.

Kamanda Muliro amesema binti huyo anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai hajafa, kama ambavyo taarifa zimekuwa zikisambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii na kwamba uchunguzi wa tukio hilo la kikatili bado unaendelea.

#KitengeUpdates
Bora amehifadhiwa, hatuwezi kuwa na taifa la watu wanaojiropokea mambo ya hovyo hovyo tu
 
Back
Top Bottom