Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well saidā¦.Wengi waliongia Jeshini hawafit kwenye nafasi zao.
Phizco test.... Ujomba
Psycho Test..... Ujomba
Intelligence Test...... Ujomba
Background Check.....Ujomba.
Kwanini Msipate wabakaji.
Kwani we Msudani ?Well saidā¦.
Hapo nilipobold unitoe š
Saivi nimeokoka dada yangu, sitoi hiyo huduma tena.Daaah wewe sister mbona wamoto hivi
Sio kweli,hauwezi kumkamata mwajajeshi na kumshitaki kwenye mahakama za kiraia bila kwanza kufukuzwa kazi ,
Ewaaa huyooo kidem kijurii! Dah wewe dada unanikosha mpaka basi sijiwezi mrembo wanguSaivi nimeokoka dada yangu, sitoi hiyo huduma tena.
Sawa.Sio kweli
Aisee, hatari sana.Sure yani huyo jamaa amekamatwa kwa haraka. Wakati wale waf.iraji hakuna ushahidi kwamba wamedakwa
Sasa hivi wenye miaka iyo ya 50 na 60 na kitu ndio wenye matatizo ya akili sana. Wala hakuna cha kushangaza hapo tunajua wengi wao wenye miaka iyo ni wagonjwa wa ubongoMuliro buana ,watu wanataka waliobaka na aliyewatuma na sio huyo jamaa ambaye unaona kabisa ana tatizo la afya ya akili maana kikawaida 54 yrs hauwezi kufanya aliyoyafanya.
Kwahiyo huyo ni mbaya zaidi kuliko wale wabakaji?#Aliyesambaza taarifa kapatikana waarifu Bado hawajapatikanaš#
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo wilaya ya Kinondoni mkoani humo, kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo mitandaoni kuwa binti mkazi wa Yombo Dovya ambaye video zake zilisambaa mitandaoni akibakwa na kulawitiwa na vijana watano kuwa amekutwa tayari kashafariki dunia.
Kamanda Muliro amesema binti huyo anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai hajafa, kama ambavyo taarifa zimekuwa zikisambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii na kwamba uchunguzi wa tukio hilo la kikatili bado unaendelea.
#KitengeUpdates
Pia Soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
- Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam: Binti anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai, hajafa kama ambayo imeripotiwa katika baadhi ya mitandao
Mkuu mbona unakazia sana hilo neno kulikoni?Sema yule mtoto katombwa Sana , mkunduni na mdomoni kwa MTU tano Kama atakuwa amepona itakuwa ni kwa kudra za Allah.
Katombwa Sana , kutombwa na wat u watano msichukile powah
Hii nchi mambo yamekua mengi kinoumaaa
Hivi kumbe ni wanajeshi na siyo polisiWale vijana wa 5 wameshakamatwa ni kwa vile kuna hatua za kufuata kushughulikia hili, Comfirmed. Tena kama yule mchukua selfie ni ajira ya mwaka jana masikini. Mama Captain bado hajaguswa hadi sasaā¦. Mnatuambia nini? Hawa vijana wakitumwa kulinda amani Victims wa vita watapona kweli?
Jeshi kazieni discipline kwenye recruitment , vile vivuta bangi mmevitoa wapi? Vile vikijana ni vishoga, Kijana straight anawezaje kuvua nguo na kuwa uchi vile mbele ya kijana mwenzie jinsia moja?
Hatua kali zichukuliwe wiser, Sisi wana mtandao (wanachi) hatutawaelewa.
#JeshiLimechafuka#
Jioni nilikuwa naulizia kwa āmtuā kama wamekamatwa or not akanipa hiyo taarifa ya kukamatwa tu sikumuuliza kama ni wajeshi au mapolisi, Ila katika kuongea ongea ndio akaniambia huyo mwenye uso mpana ni ajira mpya (aliongea kwa kumuhurumia) .Hivi kumbe ni wanajeshi na siyo polisi
Aliekamatwa mbona mnapenda kudanganywa sanaJioni nilikuwa naulizia kwa āmtuā kama wamekamatwa or not akanipa hiyo taarifa ya kukamatwa tu sikumuuliza kama ni wajeshi au mapolisi, Ila katika kuongea ongea ndio akaniambia huyo mwenye uso mpana ni ajira mpya (aliongea kwa kumuhurumia) .
Nikachukulia moja kwa moja kuwa ni wajeshini.
Btw, Miss you Jadda.