Aliyezusha kifo cha binti aliyebakwa Yombo atiwa mbaroni

Aliyezusha kifo cha binti aliyebakwa Yombo atiwa mbaroni

Wale vijana wa 5 wameshakamatwa ni kwa vile kuna hatua za kufuata kushughulikia hili, Comfirmed. Tena kama yule mchukua selfie ni ajira ya mwaka jana masikini. Mama Captain bado hajaguswa hadi sasa…. Mnatuambia nini? Hawa vijana wakitumwa kulinda amani Victims wa vita watapona kweli?

Jeshi kazieni discipline kwenye recruitment , vile vivuta bangi mmevitoa wapi? Vile vikijana ni vishoga, Kijana straight anawezaje kuvua nguo na kuwa uchi vile mbele ya kijana mwenzie jinsia moja?

Hatua kali zichukuliwe, Sisi wana mtandao (wanachi) hatutawaelewa.

#JeshiLimechafuka#
 
#Aliyesambaza taarifa kapatikana waarifu Bado hawajapatikana😂#

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo wilaya ya Kinondoni mkoani humo, kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo mitandaoni kuwa binti mkazi wa Yombo Dovya ambaye video zake zilisambaa mitandaoni akibakwa na kulawitiwa na vijana watano kuwa amekutwa tayari kashafariki dunia.

Kamanda Muliro amesema binti huyo anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai hajafa, kama ambavyo taarifa zimekuwa zikisambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii na kwamba uchunguzi wa tukio hilo la kikatili bado unaendelea.

#KitengeUpdates

Pia Soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

- Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam: Binti anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai, hajafa kama ambayo imeripotiwa katika baadhi ya mitandao
Duh 54 years! NA huyu mtasena gen Z?

Ila kiufupi yule dada ni noma ajengewe sanamu
Cc : ephen_ FaizaFixy
 
Sema yule mtoto katombwa Sana , mkunduni na mdomoni kwa MTU tano Kama atakuwa amepona itakuwa ni kwa kudra za Allah.


Katombwa Sana , kutombwa na wat u watano msichukile powah
Kuhusu uwepo wake Bado unazua minong'ono Kwan mpka ndgu zke unaambiwa hawamjui aliko japo police wanasema yupo safe🤒
 
#Aliyesambaza taarifa kapatikana waarifu Bado hawajapatikana😂#

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo wilaya ya Kinondoni mkoani humo, kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo mitandaoni kuwa binti mkazi wa Yombo Dovya ambaye video zake zilisambaa mitandaoni akibakwa na kulawitiwa na vijana watano kuwa amekutwa tayari kashafariki dunia.

Kamanda Muliro amesema binti huyo anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai hajafa, kama ambavyo taarifa zimekuwa zikisambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii na kwamba uchunguzi wa tukio hilo la kikatili bado unaendelea.

#KitengeUpdates

Pia Soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

- Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam: Binti anayedaiwa kulawitiwa na kubakwa bado yupo hai, hajafa kama ambayo imeripotiwa katika baadhi ya mitandao
= wahalifu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom