Aliyezusha kifo cha binti aliyebakwa Yombo atiwa mbaroni

Muliro buana ,watu wanataka waliobaka na aliyewatuma na sio huyo jamaa ambaye unaona kabisa ana tatizo la afya ya akili maana kikawaida 54 yrs hauwezi kufanya aliyoyafanya.
Sasa hivi wenye miaka iyo ya 50 na 60 na kitu ndio wenye matatizo ya akili sana. Wala hakuna cha kushangaza hapo tunajua wengi wao wenye miaka iyo ni wagonjwa wa ubongo
 
Kwahiyo huyo ni mbaya zaidi kuliko wale wabakaji?
 
Hivi kumbe ni wanajeshi na siyo polisi
 
Hivi kumbe ni wanajeshi na siyo polisi
Jioni nilikuwa naulizia kwa “mtu” kama wamekamatwa or not akanipa hiyo taarifa ya kukamatwa tu sikumuuliza kama ni wajeshi au mapolisi, Ila katika kuongea ongea ndio akaniambia huyo mwenye uso mpana ni ajira mpya (aliongea kwa kumuhurumia) .

Nikachukulia moja kwa moja kuwa ni wajeshini.

Btw, Miss you Jadda.
 
Hmna
Aliekamatwa mbona mnapenda kudanganywa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…