Aliyezusha kifo cha binti aliyebakwa Yombo atiwa mbaroni

Amosi kayatimba, haha
 
Ushauri wangu afande auawe, na waliomfanyia ukatili huo pia wauawe.

Wasiwasi wangu binti huenda akajiuwa
 
Dooh inashangaza sana yani mtu unajijua uko kwenye ajira za majeshi halafu unafanya vitendo vya namna hiyo

By the way hiyo video mimi sijaiona mpaka sasa hivi nasoma maneno ya watu tu kila mtu anasema lake

Miss you too my dear
 
Wengine wanakamatwa fastaaa,ila zile mbuzi zilizotenda unyambirisi na yule bosi wao Utaskia Bado Bado.upuuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…