Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja machalii wa chuga waanze kumchakata demu wake. Maana sidhani kama anaweza kuvumila hata miezi 6Nina mchumba ninayetarajia kumuoa hivi karibuni na mahari nimeshatoa. Naomba mahakama iniachie huru. [emoji23]
Ndiyo ninavyojua mimi.Kumbe ameenda nyumbani kujumuika na mchumba wake?
Basi sawa, tunywe Pombe kesho twende IbadanHata mimi najua hivyo ndiyo maana nilikuwa nashangaa!!
Kwa hiyo hiyo miaka 30 ni ya kwenda kuishi ukweni?Ndiyo ninavyojua mimi.
hebu niambie umeshaenda kumjulia hali Gaidi Mbowe kule Segerea au upo tu JF wakati Mwenyekiti wako ananyea ndoo??
NdiyoKwa hiyo hiyo miaka 30 ni ya kwenda kuishi ukweni?
Kumbe? Nilikuwa sijuiSijaenda maana sitaki kumuudhi mama wa kambo na hii kesi yake ya kubambikizia.
Kuna waliosikika wakisema sabaya hawezi kufungwa.....saivi sjui wanaambia nn wananzengoKwa Sabaya mlisema hivyo hivyo
Hukumu yake badoKwani Sabaya amefungwa?? Baadae unaanza kulaumu mahakama.
Futa huu upuuzi wakoMakonda atakamatwa lakini Ni vizuri akaunganishwa na Kapilimba na Yule aliyepelekwa tabora mkuu wa vikosi vya wasiojulikana.
Makonda hawezi kukamatwa milele.
Utanyooka tuuHata mimi najua hivyo ndiyo maana nilikuwa nashangaa!!
Si yupo Sauzi Afrika au??Nimepata taarifa kwamba Ndugu Paul Makonda anasumbua sana viongozi huku na kule kutaka kujua hatima yake ndani ya nchi hii.
Nimsihi tu wakati wa kunyolewa inabidi atulie. Acha kusumbua viongozi ili dola ifanye kazi yake. Ungewasumbua kabla ya kuvamia Clouds na silaha za kivita,ili wakushauri.
Amekuwa na wasiwasi wa kutiwa nguvuni muda wowote. Wajinga wachache wanamshauri atoroke. Aende wapi na Interpol ipo,utadakwa tu.
Hujui hata unachoandika bossHata kwa sabaya ulisema hivyo hovyo kwamba hawawezi kumfunga....Jinai haifi...Makonda lazima atakamatwa tu ,kumbuka USA washampiga tanchi moja ya makosa yake ni mauaji(Dhuluma ya haki ya kuishi) ,Ben Saanane kabla ya kupotea alikuwa na mbishe na makonda ,kupora mali za wafanyabiashara ,kumiliki genge la unyang'ang'anyi(Organized Crime) ,ujambazi wa kutumia silaha etc
Kwani Sabaya amefungwa?? Baadae unaanza kulaumu mahakama.
Hivi Paul Makonda ndiye Nani?Nimepata taarifa kwamba Ndugu Paul Makonda anasumbua sana viongozi huku na kule kutaka kujua hatima yake ndani ya nchi hii.
Nimsihi tu wakati wa kunyolewa inabidi atulie. Acha kusumbua viongozi ili dola ifanye kazi yake. Ungewasumbua kabla ya kuvamia Clouds na silaha za kivita,ili wakushauri.
Amekuwa na wasiwasi wa kutiwa nguvuni muda wowote. Wajinga wachache wanamshauri atoroke. Aende wapi na Interpol ipo,utadakwa tu.
Hao wengine unawasingizia hawastahili kukamatwaMakonda atakamatwa lakini Ni vizuri akaunganishwa na Kapilimba na Yule aliyepelekwa tabora mkuu wa vikosi vya wasiojulikana.
Kesi za uhalifu dhidi ya binadamu kama utekaji, mauaji na jinai zingine hazina ukomo wa muda.Makonda hawezi kukamatwa milele.