Kuna mpumbavu mwenzako humu kaweka uzi kuwa katorokea Afrika Kusini. Wewe unasema anataka kutoroka! Ujinga mtupu!!!Nimepata taarifa kwamba Ndugu Paul Makonda anasumbua sana viongozi huku na kule kutaka kujua hatima yake ndani ya nchi hii.
Nimsihi tu wakati wa kunyolewa inabidi atulie. Acha kusumbua viongozi ili dola ifanye kazi yake. Ungewasumbua kabla ya kuvamia Clouds na silaha za kivita,ili wakushauri.
Amekuwa na wasiwasi wa kutiwa nguvuni muda wowote. Wajinga wachache wanamshauri atoroke. Aende wapi na Interpol ipo,utadakwa tu.
Laa kazi kweli kweli, jee lini mara ya mwisho umemuona Makonda? Mtumie nauli arudi, yuko University of Uppsala, Sweden anafanya Master in Government and Management. Kamfuate.Hata kwa sabaya ulisema hivyo hivyo kwamba hawawezi kumfunga....Jinai haifi...Makonda lazima atakamatwa tu ,kumbuka USA washampiga tanchi moja ya makosa yake ni mauaji(Dhuluma ya haki ya kuishi) ,Ben Saanane kabla ya kupotea alikuwa na mbishe na makonda ,kupora mali za wafanyabiashara ,kumiliki genge la unyang'ang'anyi(Organized Crime) ,ujambazi wa kutumia silaha etc
Kapilima amefanya nini? Kapilima si ndie alimfukuza yule akampeleka Tabora?Makonda atakamatwa lakini Ni vizuri akaunganishwa na Kapilimba na Yule aliyepelekwa tabora mkuu wa vikosi vya wasiojulikana.
Bila kusahau alipopeleka lile Range Rover ya Manji.Makonda akikamatwa ahojiwe juu ya elimu yake pia
Hataree na robo tatu....Kumekuchaaa
Dogo ana hips kama za mama Nyasato!😝😝😝😝😝Aliyekuwa mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama mkoa wa Dar akisalimiana na makamanda wake.
View attachment 1976778
Swala la kufikirisha huyu maza yuko huko Arusha na sambaya kapigwa mvua za kutosha tu hapo hapo.Makonda akikamatwa ahojiwe juu ya elimu yake pia
Ndo wajue kwamba Mungu yupo.Na sio KILA damu ni ya kutoa kafaraMchizi alidhan akitaka mungu sijui tumtegemee mungu huku familia za kina Ben Saanane na wengine tunalia kila siku kwa uchungu Mungu akuachii na huchukui round. Kuua kubaka ni ngumu sana kusamehewa. Maisha ya binadamu ni ya thamani
Mtagi lemutuz,jerry muro na yule Shehe Ahadi swahiba wake mkuu na muandaaji mkuu wa makongamano ya kumsifia jiwe.Kaka yangu mumfikishie habari hii na washirika wake.
Nipo sirius asije akadhani kila mtu ni mwanasiasa