Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Aliyotenda Ole Sabaya ni madogo kuliko ya Paul Makonda. Rais Samia malizia kiporo hiki

Jinaia haina ukomo na haiozi at any time they can be charged wale wote waliofanya uovu hata kama watazeeka watakabiliwa na kesi kujibu makosa waliyoyafanya pindi tu wakishitakiwa. DAB wingi baya jeusi linamuatamia, labda akimbie nchi maana nae soon anaweza kushitakiwa na wahanga wa uovu wake ikiwa tu sheria itafuata mkondo wake
 
Silo badala ya kumkamata makonda muhalifu mwenye ushahidi hadi USA wanao eti anamkamata mbowe kwa ushahidi wa kuokoteza wa kina kingai na mahita.
 
Mama alikuwa na bifu lake na sabaya .makonda mshikaj wake sana
Mama hana mshkaji, Utawala wake haangalii sura ya mtu! Hata huyo Mulamula akizingua anamchomoa! Bashite muda wake unakuja soon, ni mtu mmoja tu atalianzisha then uchafu wote utawekwa hadharani, anamaadui kila sehemu; Upinzani, ndani ya CCM, marafiki wake wa zamani, wastaafu, Wafanyabiashara wakubwa, wananchi maskini, wafanyakazi....Kifupi hachomoki safari hii
 
Nakumbuka ile sauti yake ya kumpaka mafuta dhalimu ya " naaani kama Magufuliiii?" Ila kweli nchi hii ilipitia kipindi kigumu sana cha kiongozi muovu.
 
Roma:
Jitokeze sasa rasmi uuseme ukweli, maana ulipata kusema baada ya kuachiwa kua waliokuteka walimtaja makonda kama aliewatuma.
Ni muda wa kuielezea dunia kile ambacho watesi wako walikua wanakueleza juu ya kuagizwa na makonda.
Hautakiwi kuficha kitu chochote kile kwenye hilo suala na walimtaja makonda mara nyingi wakati wa utesaji wako, toka hadharani ili dunia ielewe nini kiliendelea maana ukikaa kimya haisaidii lazima ujitokeze na ukichelewa nitasema maneno uliyotueleza siku ile wakati tunakupa pole pale ndani tulibakia watatu tu nadhani ushakumbuka.
 
Roma:
Jitokeze sasa rasmi uuseme ukweli, maana ulipata kusema baada ya kuachiwa kua waliokuteka walimtaja makonda kama aliewatuma.
Ni muda wa kuielezea dunia kile ambacho watesi wako walikua wanakueleza juu ya kuagizwa na makonda.
Hautakiwi kuficha kitu chochote kile kwenye hilo suala na walimtaja makonda mara nyingi wakati wa utesaji wako, toka hadharani ili dunia ielewe nini kiliendelea maana ukikaa kimya haisaidii lazima ujitokeze na ukichelewa nitasema maneno uliyotueleza siku ile wakati tunakupa pole pale ndani tulibakia watatu tu nadhani ushakumbuka.
Huyo jamaa msitegemee chochote kutoka kwake. Huyo sio mwenzetu tena, someni alama za nyakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana awafai kupewa madaraka wanakuwa back awajabalehe vizuri
 
Roma:
Jitokeze sasa rasmi uuseme ukweli, maana ulipata kusema baada ya kuachiwa kua waliokuteka walimtaja makonda kama aliewatuma.
Ni muda wa kuielezea dunia kile ambacho watesi wako walikua wanakueleza juu ya kuagizwa na makonda.
Hautakiwi kuficha kitu chochote kile kwenye hilo suala na walimtaja makonda mara nyingi wakati wa utesaji wako, toka hadharani ili dunia ielewe nini kiliendelea maana ukikaa kimya haisaidii lazima ujitokeze na ukichelewa nitasema maneno uliyotueleza siku ile wakati tunakupa pole pale ndani tulibakia watatu tu nadhani ushakumbuka.
Huyu dogo aliishiwa kiki akaamua kuimba matusi... babako aitwe " K" utaridhika?
 
Back
Top Bottom