Aliyoyafanya Egonga yapo duniani kote sema ni siri tu! Ila watu wengi sana wanatafunana maofisini kimya kimya

Aliyoyafanya Egonga yapo duniani kote sema ni siri tu! Ila watu wengi sana wanatafunana maofisini kimya kimya

Yaliyotokea huko ikwitorio Guinea kwa bwana Egonga yapo duniani kote sema ni kimya kimya!

Tukichambua yaliyo kwrnye taasisi kuna vidada vinaviherehere kila mkuu wa idara mpya au meneja akija huwa vinajigongesha ili vitafunwe!

Ukiachia hizo mambo kuna vidada huwa vinasimuliana na kujipendekeza kila kimoja kinataka kwenda kutafunwa!

Wake zetu wakiamua kufunguka wanavyosumbuliwa maofisini ni balaa tupu hamtaamini!

Hapa hapa bongo kuna watu wameshachakaza ofisini na hata wale wanaokwenda DOM, wakienda kwenye vikao dodoma jioni ikifika wanakamatia wawil wawili Egonga cha mtoto!

Kwanza huwa sioni sababu kwa nini mameneja ofisi zao zimefungwa kama chumba, yaani kuna bafu na choo humo na makochi!

Kama hawa ni watumishi kwanini ofisi za mameneja na mabosi milango ikawa ya vioo transparent au partition iwe ya vioo! Tuwafungia ili kuficha kitu gani? Maana mazingira ya Rushwa yanazalishwa na mazingira ya ofisi!

Mke wa mtu anaongeaje na mme wa mtu wamejifungia ofisini kuongea?

Ukiachilia vishawishi vya ngono hata usalama tu si sawa lolote linaweza kutokea hata kupuliziana madawa au kuuwana na wafanyakazi wengine wasishituke
Kweli kabisa, tunakulana sana huku maofisini jamani yaani mpaka hali inatisha. Wanaliwa mawaziri na wabunge ambao ni wake za watu sembuse hawa wengine?
 
Acheni kumsingizia shetani.
Aise nakuunga mkono wanaoongoza kumsingizia shetani ni wakristo.Unakuta mke wa mtu anatembea nje ya ndoa mume akijua wanasameheana hata mume naye anaingilia kati mke wangu shetani ndiye amefanya yote haya ni jambo zuri kweli kusameheana ila shetani anaingiaje hapo.
Waislam wao hakuna cha shetani wala nini ni talaka ya chap ila ukiamua kusamehe ni wewe mwenyewe.
Wakristo kila kitu ni shetani mtu anaugua magonjwa ya kurithi ya ukoo labda ukichaa anasingizia shetani
Naomba nisieleweke naleta ubishi wa kidini maana hata mimi ni mkristo ila tumezidi sana.
Mbele za mungu tukishitakiwa pamoja na shetani atamuambia muheshimiwa mungu vingine nilikuwa nasingiziwa watu wako vichwa ngumu sana.
 
Aise nakuunga mkono wanaoongoza kumsingizia shetani ni wakristo.Unakuta mke wa mtu anatembea nje ya ndoa mume akijua wanasameheana hata mume naye anaingilia kati mke wangu shetani ndiye amefanya yote haya ni jambo zuri kweli kusameheana ila shetani anaingiaje hapo.
Waislam wao hakuna cha shetani wala nini ni talaka ya chap ila ukiamua kusamehe ni wewe mwenyewe.
Wakristo kila kitu ni shetani mtu anaugua magonjwa ya kurithi ya ukoo labda ukichaa anasingizia shetani
Naomba nisieleweke naleta ubishi wa kidini maana hata mimi ni mkristo ila tumezidi sana.
Mbele za mungu tukishitakiwa pamoja na shetani atamuambia muheshimiwa mungu vingine nilikuwa nasingiziwa watu wako vichwa ngumu sana.
Shetani si ndiyo baba wa uwongo
 
Yaliyotokea huko ikwitorio Guinea kwa bwana Egonga yapo duniani kote sema ni kimya kimya!

Tukichambua yaliyo kwrnye taasisi kuna vidada vinaviherehere kila mkuu wa idara mpya au meneja akija huwa vinajigongesha ili vitafunwe!

Ukiachia hizo mambo kuna vidada huwa vinasimuliana na kujipendekeza kila kimoja kinataka kwenda kutafunwa!

Wake zetu wakiamua kufunguka wanavyosumbuliwa maofisini ni balaa tupu hamtaamini!

Hapa hapa bongo kuna watu wameshachakaza ofisini na hata wale wanaokwenda DOM, wakienda kwenye vikao dodoma jioni ikifika wanakamatia wawil wawili Egonga cha mtoto!

Kwanza huwa sioni sababu kwa nini mameneja ofisi zao zimefungwa kama chumba, yaani kuna bafu na choo humo na makochi!

Kama hawa ni watumishi kwanini ofisi za mameneja na mabosi milango ikawa ya vioo transparent au partition iwe ya vioo! Tuwafungia ili kuficha kitu gani? Maana mazingira ya Rushwa yanazalishwa na mazingira ya ofisi!

Mke wa mtu anaongeaje na mme wa mtu wamejifungia ofisini kuongea?

Ukiachilia vishawishi vya ngono hata usalama tu si sawa lolote linaweza kutokea hata kupuliziana madawa au kuuwana na wafanyakazi wengine wasishituke
Hahaha
 
Aise nakuunga mkono wanaoongoza kumsingizia shetani ni wakristo.Unakuta mke wa mtu anatembea nje ya ndoa mume akijua wanasameheana hata mume naye anaingilia kati mke wangu shetani ndiye amefanya yote haya ni jambo zuri kweli kusameheana ila shetani anaingiaje hapo.
Waislam wao hakuna cha shetani wala nini ni talaka ya chap ila ukiamua kusamehe ni wewe mwenyewe.
Wakristo kila kitu ni shetani mtu anaugua magonjwa ya kurithi ya ukoo labda ukichaa anasingizia shetani
Naomba nisieleweke naleta ubishi wa kidini maana hata mimi ni mkristo ila tumezidi sana.
Mbele za mungu tukishitakiwa pamoja na shetani atamuambia muheshimiwa mungu vingine nilikuwa nasingiziwa watu wako vichwa ngumu sana.
Naam
 
Yaliyotokea huko ikwitorio Guinea kwa bwana Egonga yapo duniani kote sema ni kimya kimya!

Tukichambua yaliyo kwrnye taasisi kuna vidada vinaviherehere kila mkuu wa idara mpya au meneja akija huwa vinajigongesha ili vitafunwe!

Ukiachia hizo mambo kuna vidada huwa vinasimuliana na kujipendekeza kila kimoja kinataka kwenda kutafunwa!

Wake zetu wakiamua kufunguka wanavyosumbuliwa maofisini ni balaa tupu hamtaamini!

Hapa hapa bongo kuna watu wameshachakaza ofisini na hata wale wanaokwenda DOM, wakienda kwenye vikao dodoma jioni ikifika wanakamatia wawil wawili Egonga cha mtoto!

Kwanza huwa sioni sababu kwa nini mameneja ofisi zao zimefungwa kama chumba, yaani kuna bafu na choo humo na makochi!

Kama hawa ni watumishi kwanini ofisi za mameneja na mabosi milango ikawa ya vioo transparent au partition iwe ya vioo! Tuwafungia ili kuficha kitu gani? Maana mazingira ya Rushwa yanazalishwa na mazingira ya ofisi!

Mke wa mtu anaongeaje na mme wa mtu wamejifungia ofisini kuongea?

Ukiachilia vishawishi vya ngono hata usalama tu si sawa lolote linaweza kutokea hata kupuliziana madawa au kuuwana na wafanyakazi wengine wasishituke
Kila sehemu kuna Diddy , kila sehemu kuna watu wanasemwa wana ngoma ,kila sehemu kuna watu wanasema mtalimbo upo doro ,kila sehemu kuna watu wanasema wachawi etc kina baltazary wapo semu nyingi sana sema tu baltazary OG mkeka umechanika.
 
Sielewi kwanini watu wanashangaa, na jamaa ana akili sana kuwa record, na sasa zimevuja ndio vizuri ili ulimwengu ufahamu jinsi tunavyo danganyana.

Na wanawake siri zao zisipovuja utaambiwa wewe ndiye alfa na omega.

Walipaswa wamjengee sanamu ya kumbukumbu nchi nzima, kuifundisha jamii maisha ya kweli.
 
Mungu akupe rehema usimtaje ila ni aibu aibu ... Anayopostigi Mange kimambi huko ukweli mtupu tena kipindi hiki ndo vimezidi bora kipindi cha magu
Kumanisha raisi wa sasa anawapatia na nyongeza ya mishahara mtiane kama unawaza hii ya raisi na tabia ya mtu inaingiaje hapa usipende kuingiza uhusika pasipo takiwa hii ni tabia zenu mlizo toka nazo kwenye familia na makabila yenu kuna watu tupo maofisini almost 25 hakuna kumbukumbu ya kumshika hata mkono mwanamke hzo ni ofisi za kipuuz
 
Back
Top Bottom