Aliyoyafanya Egonga yapo duniani kote sema ni siri tu! Ila watu wengi sana wanatafunana maofisini kimya kimya

Aliyoyafanya Egonga yapo duniani kote sema ni siri tu! Ila watu wengi sana wanatafunana maofisini kimya kimya

Aise nakuunga mkono wanaoongoza kumsingizia shetani ni wakristo.Unakuta mke wa mtu anatembea nje ya ndoa mume akijua wanasameheana hata mume naye anaingilia kati mke wangu shetani ndiye amefanya yote haya ni jambo zuri kweli kusameheana ila shetani anaingiaje hapo.
Waislam wao hakuna cha shetani wala nini ni talaka ya chap ila ukiamua kusamehe ni wewe mwenyewe.
Wakristo kila kitu ni shetani mtu anaugua magonjwa ya kurithi ya ukoo labda ukichaa anasingizia shetani
Naomba nisieleweke naleta ubishi wa kidini maana hata mimi ni mkristo ila tumezidi sana.
Mbele za mungu tukishitakiwa pamoja na shetani atamuambia muheshimiwa mungu vingine nilikuwa nasingiziwa watu wako vichwa ngumu sana.
Na jaya baltazar na waliorikodow wengi ni kina wafuasi wa wanaomsingizia shetani au ndo mkishaungama yesu anabeba uchafu wote
 
Upuuzi wa Baltazar ni kurekodi ma video tu..Lakini kana kutyomba na kutyombewa mbona sana tu.
 
Kwanini utoe ruhusa mke wako kuwa muajiriwa au uoe mwanamke alliyeajiriwa.

Either umuajiri, au umfungulie biashara yake, au abaki nyumbani tu.
Hawa walofunguliwa biashara wanatafunwa kuliko walioajiriwa... anyways UMALAYA ni Hulka ya mtu wala haina uhusiano na Fedha
 
Ogopa sana kuwa na mwanamke mhuni maumivu yake hayavumiliki!
Mzeya acha wivu wakijinga mbususu hizi zetu sotee....wee Cha msingi unapewa inatosha. Kuhusu nani anakojolea hapo baada ya wewe hayo hayakuhusu
 
Back
Top Bottom