Alisema Uhuru, huyu anayejiita Hustler na apewe kama miezi mitatu tu, mambo atayakoroga.
Huyu bwana aliahidi mbingu huko Kenya lakini tayari kwa mwendo huu kumekucha:
1. Ruto anaondoa ruzuku kwenye mafuta ya magari.
"Petrol, Diesel na mafuta ya taa kupaa hadi juu ya 200 Ksh @ lita."
Zingatia 1 Ksh ni takribani 20 Tsh.
2. Ya pesa za watu benki ki mwendazake mwendazake nayo yanawanyemelea:
Uhuru era traders face billions in tax demand after KRA expose'
Na bado!
Ni suala la muda tu.
Huyu bwana aliahidi mbingu huko Kenya lakini tayari kwa mwendo huu kumekucha:
1. Ruto anaondoa ruzuku kwenye mafuta ya magari.
"Petrol, Diesel na mafuta ya taa kupaa hadi juu ya 200 Ksh @ lita."
Zingatia 1 Ksh ni takribani 20 Tsh.
2. Ya pesa za watu benki ki mwendazake mwendazake nayo yanawanyemelea:
Uhuru era traders face billions in tax demand after KRA expose'
Na bado!
Ni suala la muda tu.