Aliyoyasema Kenyatta juu ya Ruto tayari yanafukuta

Aliyoyasema Kenyatta juu ya Ruto tayari yanafukuta

Hiki ndio kilikuuma au kuna kingine?
Inaonekana tu humpendi huyu Bwana maana ungekuwa objective ungesema na kuhusu ruziku ya mbolea na mengine mazuri aliyoyafanya.

Huyu bwana miye ni mmoja wa waliomshangilia Chebukati kukataa sera za mwendazake.

Lakini ndugu diesel na nduguze vikishapanda kuna ruzuku gani ita offset nini kwenye gharama za maisha?

IMG_20220915_064215_046.jpg
 
Naona hamjakoma, hata baada ya kuangukia pua kwenye dua zenu za kichawi. Mlipokuwa mkitamani sana vita viibuke na damu imwagike wakati wa uchaguzi hivi majuzi nchini Kenya. Ningewashauri muanze kwa kutatua matatizo yanayoikumba nchi yenu kwanza. Kabla ya kuvuka boda na kujadili au kujaribu kuwashauri wakenya kuhusu masuala yanayohusu nchi yao.
 
Naona hamjakoma, hata baada ya kuangukia pua kwenye dua zenu za kichawi. Mlipokuwa mkitamani sana vita viibuke na damu imwagike wakati wa uchaguzi hivi majuzi. Kabla ya kuvuka boda mngeanza kwanza na kutatua matatizo yanayoikumba nchi yenu.
Hahaha ha boda? Sisi tunafuatilia hadi ya Mars. Hatungoji kuambiwa kwa sababu elimu haina mwisho.
 
Hahaha ha boda? Sisi tunafuatilia hadi ya Mars. Hatungoji kuambiwa kwa sababu elimu haina mwisho.
Endeleeni kufatilia ya Mars wakati ya hapa hapa duniani, kwenu Namtumbo, yamewashinda. Mkimaliza kufatilia ya Kenya kuna mengine yanaibuka kati ya Armenia na Azerbaijan. Baada ya hapo rudini kwa zile zenu pendwa za jezi za Yanga na Simba na uzinzi wa kina Zuchu na Dayamondi. Hiyo ndio raha ya 'maisha' ya maiti zinazopumua.
 
Endeleeni kufatilia ya Mars wakati ya hapa hapa duniani, kwenu Namtumbo, yamewashinda. Mkimaliza kufatilia ya Kenya kuna mengine yanaibuka kati ya Armenia na Azerbaijan. Baada ya hapo rudini kwa zile zenu pendwa za jezi za Yanga na Simba na uzinzi wa kina Zuchu na Dayamondi. Hiyo ndio raha ya 'maisha' ya maiti zinazopumua.

Pole, wewe endelea na makasiriko yako.

Kwetu baharini ndugu. Raha twajipa wenyewe. Raha yetu ipo kwenye kufuatilia mambo kama Waberoya wa zama za Yesu (Matendo 17:11-12), na tunafuatilia kweli kweli.

Habari ndiyo hiyo.
 
Lakini ndugu diesel na nduguze vikishapanda kuna ruzuku gani ita offset nini kwenye gharama za maisha?
Mambo ya Ruzuku ni ujinga tu!
Suluhisho la mafuta siyo ruzuku. Ungekuwa objective ungesubiri uone baada ya kufuta Ruzuku kinafuata nini.
Hata mimi ningekuwa rais ningeifuta ruzuku ya mafuta. Sio sustainable solution

Moreover hakuna katika ahadi zake sehemu aliahidi kuweka ruzuku kwenye mafuta

All in all hata huyo Magufuli ambaye unaonekana humpendi pia ndiye ambaye hakuku lock down, na kufanya usilielie njaa. Waulize Wakenya, Waganda na Wanyarwanda maana ya lock down. Utaelewa.

Mwacheni Rais wa Kenya awahudumie watu wake. Sisi nasi tubakie na rais wetu Mhe. Bi Samia.
 
Hujui hata tafsiri ya dikteta?
Kamkandamiza nani? na kwa namna gani?
Eti MK254 rais wenu keshawakandamiza tayari?

Ha ha ha! Jameni tumuombee rais wetu atuongoze vizuri, tusimseme sana hata kabla hajaonyeshwa sebule ya ikulu au chumba chake cha kulala.
Udikteta hawezi akaufanya maana tuna katiba nzuri sana inayotuongoza, ila pia akijikanganya akatumia mabavu atakutana na mziki wetu, sisi Wakenya ni wale wale hatukawii kuliamsha maana tumetoka mbali.
 
Mambo ya Ruzuku ni ujinga tu!
Suluhisho la mafuta siyo ruzuku. Ungekuwa objective ungesubiri uone baada ya kufuta Ruzuku kinafuata nini.
Hata mimi ningekuwa rais ningeifuta ruzuku ya mafuta. Sio sustainable solution

Moreover hakuna katika ahadi zake sehemu aliahidi kuweka ruzuku kwenye mafuta

All in all hata huyo Magufuli ambaye unaonekana humpendi pia ndiye ambaye hakuku lock down, na kufanya usilielie njaa. Waulize Wakenya, Waganda na Wanyarwanda maana ya lock down. Utaelewa.

Mwacheni Rais wa Kenya awahudumie watu wake. Sisi nasi tubakie na rais wetu Mhe. Bi Samia.

Ungefuta ruzuku ya mafuta, kwani wewe mlamba asali, kibaraka au ni chawa wao tu?
 
Ha ha ha! Jameni tumuombee rais wetu atuongoze vizuri, tusimseme sana hata kabla hajaonyeshwa sebule ya ikulu au chumba chake cha kulala.
Udikteta hawezi akaufanya maana tuna katiba nzuri sana inayotuongoza, ila pia akijikanganya akatumia mabavu atakutana na mziki wetu, sisi Wakenya ni wale wale hatukawii kuliamsha maana tumetoka mbali.
Tunawaombea mfanikiwe. EA ikifanikiwa maisha yetu kama wananchi wa EA yatakuwa mazuri.
Maumivu upande mmoja wa pili huwa haubaki salama.

Halafu walalamikaji ni Bongolanders!
 
Ha ha ha! Jameni tumuombee rais wetu atuongoze vizuri, tusimseme sana hata kabla hajaonyeshwa sebule ya ikulu au chumba chake cha kulala.
Udikteta hawezi akaufanya maana tuna katiba nzuri sana inayotuongoza, ila pia akijikanganya akatumia mabavu atakutana na mziki wetu, sisi Wakenya ni wale wale hatukawii kuliamsha maana tumetoka mbali.
Niliona First Lady mpya akipewa tour hapo State House, ila sidhani atapatana na changamoto kama za Maggie. 😄
r7viw5pcbhn91.jpg
 
Tunawaombea mfanikiwe. EA ikifanikiwa maisha yetu kama wananchi wa EA yatakuwa mazuri.
Maumivu upande mmoja wa pili huwa haubaki salama.

Halafu walalamikaji ni Bongolanders!

Tofautisha walalamikaji na wenye macho (observers) ndugu.

Mwenye macho tangu lini aambiiwe tazama?
 
Pole, wewe endelea na makasiriko yako.

Kwetu baharini ndugu. Raha twajipa wenyewe. Raha yetu ipo kwenye kufuatilia mambo kama Waberoya wa zama za Yesu (Matendo 17:11-12), na tunafuatilia kweli kweli.

Habari ndiyo hiyo.
Hakuna cha makasiriko wala nini jombaa, mimi nakupa tu 'a dose of reality'. Pambaneni kwanza na magenge ya hivyo vijitoto vinavyojiita Panya Road. Ambavyo vinawatesa jijini Dar, kabla ya kuanza kuwapa wakenya mawaidha kuhusu siasa na uongozi.
 
Naona hamjakoma, hata baada ya kuangukia pua kwenye dua zenu za kichawi. Mlipokuwa mkitamani sana vita viibuke na damu imwagike wakati wa uchaguzi hivi majuzi nchini Kenya.
Unaenda mbali kujumlisha nchi nzima kwa sababu ya keyboard warriors wachache. Hakuna Mtanzania ukiacha wale nchi jirani ya Republic of Keyboard Worriors alliyeiombea mabaya Kenya. Kila mtu alitamani uchaguzi uishe kwa amani japo kuna walitaka Ruto ashinde na wengine Raila. Which happened even in Ke and happens everywhere!
 
Hakuna cha makasiriko wala nini jombaa, mimi nakupa tu 'a dose of reality'. Pambaneni kwanza na magenge ya hivyo vijitoto vinavyojiita Panya Road. Ambavyo vinawatesa jijini Dar, kabla ya kuanza kuwapa wakenya mawaidha kuhusu siasa na uongozi.

Sisi ni mabosi mjomba. Tuna watu tuliowaandika kufanya hizo kazi za punda.

Mabosi sisi huwa tuna hire na ku fire. Tusiporidhika na utendaji wao tunawafuta kazi.

Mabosi sisi kwa raha zetu nikujifunza kwingine wanasonga vipi mbele au nyuma. Lengo likiwa kujizatiti kwa 'a better tomorrow'.

Makwetu husema 'mla mla Leo mla jana kala nini?'

Kwa maana nyingine thwawabu ni katika kuganga yajayo.

Habari ndiyo hiyo.
 
Sasa mtu anakwambia anataka chama chake kiwe Kama CCM?
Sasa chama kimejaa vibaka na wewe unakichukulia Kama Cha mfano!!yaani chama ambacho watanzania wanakilaani yeye anataka kurithi mfumo wake.Alafu na yule Makamu wake anaonekana chenga tu!
Huyo Makamu kazi kumsifia Rais tu
 
Back
Top Bottom