All international flights in Tanzania to pass through JKIA Nairobi

All international flights in Tanzania to pass through JKIA Nairobi

Mlitaka muwaibukie na vyeti vyenu vya kuandikiana huko eti ukilipa $100 unazugwa kupimwa corona kisha unapewa cheti ukawaibukie wazungu kwao. Lazima mpitie hapa mpanue midomo tutumbukize vifaa vya kukagua kama kweli mko wasafi....
Hehehe!! Nimefanya kuchomekea tu ila sijui mbona imelazimishwa mpitie kwetu hapa.
Hahahaaa hata mie sijui. Ila tutajua tu hivi karibuni. Ndo utaratibu umeanza March 1 tu hapo watakuja watu kusema
 
Vitu vishashuka, bado dunga nkuchoche aisee!
Alafu hiyo ndege ya KLM inapita Nairobi kujazilia abiria wengine sababu isitie hasara kwa kwenda majuu na abiria kidogo (haitaleta shangwe!) Pili, hata iweje, abiria wote wanaosafiri kwenda nje ya nchi hata na local destinations pia lazima washafanyiwa vipimo vyote vya Korona 19 na kuwa negative ndio waabiri usafiri. Sijui wenzetu huko mna deal na hiyo issue ya travel requirements vipi but huku kwetu ndio mtindo huo tangu mlipuko wa virusi ulipotabulika nchini... Ishaisha hiyoo!!!
Salaam toka nchi jirani ✌️
 
Huna akili kabisa! KLM ni Non stop flight,maana yako ikienda Nairobi wanakupima,kama una Corona huendi!
Wapi wameongelea vipimo? Mpaka unapanda kwenye ndege yao mnaake tayari umepima!

Usiwe mjinga
 
Kitu ambacho wabongo wengi hawajanotice ni kwamba Flights za kutoka Amsterdam kuja Bongo zinakuja moja kwa moja

Ila za kutoka Bongo kwenda Amsterdam ni lazima waweke kituo Nairobi

Hapo ndo pa kujiuliza ni kituo cha nini? Na kwanini

*Nadhani ukienda kununua tiketi utakutana na vigezo na masharti zaidi kuwa tunakupakia hapa tunaenda Nairobi tutafanya hiki na hiki usipo"qualify " unabaki/unarudishwa
Unadhani? Nilifikiri umekutana nayo kumbe unadhani?
 
Mlitaka muwaibukie na vyeti vyenu vya kuandikiana huko eti ukilipa $100 unazugwa kupimwa corona kisha unapewa cheti ukawaibukie wazungu kwao. Lazima mpitie hapa mpanue midomo tutumbukize vifaa vya kukagua kama kweli mko wasafi....
Hehehe!! Nimefanya kuchomekea tu ila sijui mbona imelazimishwa mpitie kwetu hapa.
Wanakuja huko kucbukua abiria. Ni swala la kibiahara.

Kwa akili yako unafikiri wanachoma mafuta bure ili wawafurahishe nyie nyang'au?
 
Nairobi is the undisputed hub of East and Central Africa region in everything and KLM shows us why.​

View attachment 1716251

Kwa jinsi KLM wanavyofanya kazi, Kilimanjaro ni Technical stop, Mkiondoka Schipho mnaenda mpaka Kilimanjaro, ambako kuna watakaoshuka na wengine kupanda ambao wanakwenda Schipho. Hawa waliopandia Kilimanjaro wataungana na watakaopandia Dar kurudi Schipho. Ikumbukwe kuwa ndege za KLM huwa hazilali Dar, ikifika usiku, inafanyiwa matengenezo kwa masaa machahe, usiku huo huo inarudi Armsterdam. The only thing they change is a cabin crew.
Sasa hiyo ya kupitia Nairobi ikitokea Dar, pengine itakuwa kama technical destination, itashusha abiria wa nairobi toka Schipho na kupakia wanaokwenda huko Schipho. Ila kwa abiria wa nairobi kutoka Schipho, itakuwa ni kuzunguka sana.
 
Labda ni technical destination
tutapata kujua ni kwanini pengine
 
Amsterdam-Dar es Salaam then Dar es Salaam- Nairobi- Amsterdam,
You sound folly, nini huelewi we kilaza, wazungu wakitoka Zanzibar wanapitia Nairobi then wanaenda uholanzi.

Tena I thought you'll see how Tz got multiple operating international airports, yaani Zamzibar, Kilimanjaro, Dar, and soon Mwanza and Dodoma.
You have nailed it to show him they only have one destination against three from our end. Actually, we have got nothing to be worried about from this news.
 
Kizungu kimeleta taabu, anawadanganya babu yenu mjikite kwenye kiswahili, ona sasa. Hizi ni international flights za KLM not any other international airlines operating in Tanzania.
Hebu wewe tupe maana ya hilo bandiko kwa sababu jamaa ameeleza sahihi tu na umemkosoa hajui kiingereza. Tutafsirie wewe umeelewaje
 
Kitu ambacho wabongo wengi hawajanotice ni kwamba Flights za kutoka Amsterdam kuja Bongo zinakuja moja kwa moja

Ila za kutoka Bongo kwenda Amsterdam ni lazima waweke kituo Nairobi

Hapo ndo pa kujiuliza ni kituo cha nini? Na kwanini

*Nadhani ukienda kununua tiketi utakutana na vigezo na masharti zaidi kuwa tunakupakia hapa tunaenda Nairobi tutafanya hiki na hiki usipo"qualify " unabaki/unarudishwa
Hata Swissair wanafanya hivi miaka yote. Ni rahisi kwao kwasababu ya uchache wa abiri wanachanganya wa Nai na Dar ndege inajaa. Baada ya kuwa na flight mbili inakuwa moja from Dar/nai-amst badala ya far/amst +nai/amst
 
Hata Swissair wanafanya hivi miaka yote. Ni rahisi kwao kwasababu ya uchache wa abiri wanachanganya wa Nai na Dar ndege inajaa. Baada ya kuwa na flight mbili inakuwa moja from Dar/nai-amst badala ya far/amst +nai/amst
Anhaaa sawa mkuu

Saivi tumekua waoga(Japo hatusafiri hahahaaa)

Usije panda ndege kwenda uholanzi ukashushwa Nairobi halafu ukutane na kipimio cha mchina

Bora waseme tu vizuri kabla ya kununua ticket
 
Anhaaa sawa mkuu

Saivi tumekua waoga(Japo hatusafiri hahahaaa)

Usije panda ndege kwenda uholanzi ukashushwa Nairobi halafu ukutane na kipimio cha mchina

Bora waseme tu vizuri kabla ya kununua ticket

Mwaisa alikimbia
🤣🤣🤣
 
Amsterdam-Dar es Salaam then Dar es Salaam- Nairobi- Amsterdam,
You sound folly, nini huelewi we kilaza, wazungu wakitoka Zanzibar wanapitia Nairobi then wanaenda uholanzi.

Tena I thought you'll see how Tz got multiple operating international airports, yaani Zamzibar, Kilimanjaro, Dar, and soon Mwanza and Dodoma.
Nairobi ndio hub ya KLM hapa East Africa. Walijaribu kufanya Dar iwe hub wakapata losses sasa wamerudisha hub Nairobi. Kwa watu ambao wamezoea kupanda ndege mtaelewa kwamba notisi hii inamaana kwamba ukipanda KLM ukiwa Dar, utashuka Nairobi na kupanda ndege nyingine inayokwenda Europe au Asia. Yaani Nairobi ndio inatumika kama connecting hub. Yaani mambo ya Abiria kupanda ndege Dar na kusafiri hadi ulaya direct imesimamishwa kwa sababu hakukuwa na abiria wa kutosha kwa safari za direct so inabidi nyinyi nyumbu mletwe Nairobi msaidie kujaza ndege ili ndege ing'oe nanga.
 
Back
Top Bottom