All international flights in Tanzania to pass through JKIA Nairobi

All international flights in Tanzania to pass through JKIA Nairobi

Hamna kitu kibaya kama kuongelea kitu usichokijua. KLM wamekuwa na direct flights za Amsterdam - Dar es Salaam-Amsterdam (baadae via Kilimanjaro na Zanzibar) kwa miaka yote tokea waanze kuja Tanzania.

Haijawahi kumlazimu mtu yeyote kutoka Tanzania kupitia JKIA kuifuata KLM. Mimi ni abiria wa miaka mingi wa KLM na sijawahi kupitia Nairobi kuifuata.

Halafu hamna kitu kama hub ya KLM East Africa, Wakenya mna ujinga mwingi sana bila kujijua.

Mabadiliko yaliyofanywa na KLM ni ya muda mfupi kutokana na kupungua kwa wasafiri wakati huu wa covid-19. Hali ikitengamaa safari zao zitarudia kama kawaida.

Abiria wa kutoka Dar es Salaam kwenda Amsterdam hawatashuka Nairobi hata kidogo zaidi ya kuongezea abiria wa kutokea Nairobi. Ndege itayotumika ni hiyo hiyo (B787-9 au B787-10 ya KLM).

Swiss International Airlines wana route ya aina hiyo kwa miaka mingi sasa. Route yao ni Zurich-Nairobi-Dar es Salaam - Zurich.

Punguza hisia zako kwenye vitu usivyovifahamu.
Mimi huwa sipandi KLM kwa hivyo mambo ya KLM siyajui vizuri. Mimi hupanda Emirates na Qatar. Eti KLM ilianza direct flights between Kilimanjaro na Amsterdam mwaka gani?
 
Mimi huwa sipandi KLM kwa hivyo mambo ya KLM siyajui vizuri. Mimi hupanda Emirates na Qatar. Eti KLM ilianza direct flights between Kilimanjaro na Amsterdam mwaka gani?
We unashangaa hiyo hujui Kuna direct flight kutoka kia mpaka Dubai Doha
 
Sawa. Nimekuelewa. Kwa hivyo kama wewe ni member wa skyteam umepanda KQ sana. Maana nyie abiria wa KLM mlikuwa mnapakiwa kwenye ndege za members wa skyteam ikiwemo KQ. Cha maajabu ni kwamba mimi sijawahi kupanda KQ. Bei yao ipo juu sana. Mimi huwa napanda Emirates sana sana ila nimewahi kupanda Qatar airways. Airlines za kiarabu ni affordable kushinda hizi za kiafrika.

Mimi ni member wa Flying Blue ambao nao ni member wa SkyTeam.
KQ, tangu walivyo overbook nilivyotoka Washington, nilitaka nipitie Nairobi halafu niende bongo na precision sijarudia tena.
Hata KLM nina muda sijaitumia, maana nao walizidi kutuletea vikongwe kutuhudumia. Qatar na Emirates ni nzuri sana. Hasa Emirates unasafiri huku ukifurahia internet yenye speed ya hatari 5GB per second. Ni burudaani.
 
Hujui unachozungumza wewe. KLM tayari ina direct flight between JKIA na Schiphol. Halafu ni Schiphol sio hio Schipho unayoandika hapa. Hivi wewe hujui KLM na KQ zilikuwa na partnership kwa miaka nyingi na hio partnership iliisha tu mwaka uliopita. Ila abiria wa KQ walikuwa wanapakiwa kwenye ndege za KLM na abiria wa KLM walikuwa wanapakiwa kwenye ndege za KQ. Hata sasa tunapozungumza KLM bado inaendelea na direct flights kati ya Nairobi na Amsterdam japo frequency imepungua. Hakuna siku KLM imesema kwamba wamewacha kufanya direct flights between Nairobi and Amsterdam.

Punguza jazba.
🤣 🤣 🤣
 
Nilichoelewa mimi nikwamba wakifika Nairobi wanafanyiwa vipimo kisha ndiyo waendelee au wabaki kulingana na majibu ya vipimo vyao.
Usichokifahamu ni kuwa abiria waliochukuliwa viwanja vya ndege vya Tanzania wakifika Nairobi wanabaki kwenye ndege wakisubiri abiria wa Nairobi kujiunga nao kuendelea na safari. Hawashushwi kama ambavyo akili zako zinakutuma.
 
Tutakubali nini?

KLM walikuwa wa kwanza kukimbia mwaka jana, wamejirudisha?

Mbona tuli survive bila KLM ?

Tukitengwa na beberu tutapiga maendeleo.

North Korea wameweza, China, Cuba, Iran, Russia, Libya...
🙏 🙏 🙏 🙏 ❣️
 
Watanzania watachimba dawa Nairobi[emoji1]
flying via Nairobi si maana yake watapandia TZ ila watapitia Nairobi kabla ya kwenda nchi zingine? kwani kuna shida gani? si ni sawa tu na bus linapopitia stand fulani ili kujaza abiria? hapo shida ipo wapi?
 
Uliye andaa huu UZI ni mbumbumbu yaan kitu kipo open ww una angaika kugeuza ukweli....
 
Samahani ila ndio ishakua hivyo, mabeberu wamesema mpitie hapa tuwakague kabla kuwaibukia, hawana imani na nyie kwa ukajanja wenu mwingi haswa kwenye hili la corona mumewatoa kafara watu wenu wengi, hamtaki tahadhari, nimeshangaa sana kuna father wa kanisa katoliki kwenu huko ameeleza namna wamepukutika kanisani.
we jamaa am sure baba yako alikua mbongo alikimbia mimba ya mamako huko...you love to hate Tanzania yaanii.......

haya la kwanza la klm wal;ilileta Tanzania kuonesha confidence nasi
Royal Dutch Airline, KLM has deployed its first Dreamliner to Kilimanjaro International Airport (KIA) direct from Amsterdam, offering a ray of hope to a Tanzania’s multi-billion dollar tourism industry.
The new Boeing 787-10 Dreamliner, “Oranjebloesem” (Orange Blossom) registration PH-BKA, was delivered in Amsterdam on Sunday June 30, 2019 and its maiden scheduled flight was KIA or JRO on Tuesday July 2, 2019.
 
Name other service Nairobi is best at compared to all East Africa
 
Nairobi is the undisputed hub of East and Central Africa region in everything and KLM shows us why.​

View attachment 1716251
Who are you kidding, talking as if the World does not know that Kenya Aiways is part and parcel of KLM, you're crazy,don't you think? how on earth does KLM/Kenya airways make Nairobi a Hub for East and central Africa Region - on papers may be. FYI Nairobi counts so little nowadays,any visitor or tourists interested to visit Tanzania they take direct flight to Bongoland and not anything in between, they are fed up of hearing Kenyans saying you see Mt. Kilimanjaro when you are in Amboseli there is no need of going to Tanzania to see Mt. Kilimanjaro - Kenyans are seasoned crafty creatures.
 
Hawa majirani wananikosha kweli kweli. Yaani wanavyojifanya wasomi kumbe wajinga kiasi ichi! Eti KLM kuwa na stop KE imekuwa big issue 😀

Yaani wanaona kuwa Tanzania imepatikana kisa KLM inasimama KE! Msee hio inasimama hapo kujalizia abiria tu na hilo ni jambo la kawaida sana.
KLM wanafanya rapid test kwa abiria wao hapa Zanzibar.

Halafu title umesema all international flights, zipi hizo nyingine?
 
Mimi ni member wa Flying Blue ambao nao ni member wa SkyTeam.
KQ, tangu walivyo overbook nilivyotoka Washington, nilitaka nipitie Nairobi halafu niende bongo na precision sijarudia tena.
Hata KLM nina muda sijaitumia, maana nao walizidi kutuletea vikongwe kutuhudumia. Qatar na Emirates ni nzuri sana. Hasa Emirates unasafiri huku ukifurahia internet yenye speed ya hatari 5GB per second. Ni burudaani.

5 GB/s? Duh hapo unatuokota tena mkuu.
 
Back
Top Bottom