All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

Bina una mineno mikali sana πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Kwahiyo ng’ombe hanithi hawafai kwenye mahari??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hatutaki hatutaki hatutaki kabisa.
Yule mtoa mahali ntamwambia aje tu na moo wazima idara zote🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Lakini unauhakika shemeji pesa madafu au ndo analipa kodi kwenye pagare.
Tusije aibika cuzzo, siku nakupeleka na mibegi ukalia kurudi nyumbani cuzzo.
 
Weee thubutuuu!!! Acha kudanganya hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Una mitoto ya kutosha kila mtoto na mama yake…..
Kuna id unaipanga eeeh?? 😜
Najua huwezi amini 🀣🀣Sina kitete sana na dada zangu wa humu nshaamua kufaidi maandishi yako inatosha
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Bina acha basi mbavu zinaniuma ujue hafu kichwa kinauma…
Sikuwahi kujua km una mineno hivi 🀣🀣🀣

Kwahiyo nitarudi na mishangazi yangu kaja??
Hebu kaangalie kwanza tupate uhakika na anapoishi, kabla hujanisindikiza kwa mume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…