All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

Brother Half american nisamehe Kama nili kosea kukupiga PichaπŸ€”πŸ™πŸ™.
Charles kilian, Depal, Nuzulati niombeeni msamaha πŸ€“
FB_IMG_17091247971079685.jpg
 
Bina una mineno mikali sana πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Kwahiyo ng’ombe hanithi hawafai kwenye mahari??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hatutaki hatutaki hatutaki kabisa.
Yule mtoa mahali ntamwambia aje tu na moo wazima idara zote🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Lakini unauhakika shemeji pesa madafu au ndo analipa kodi kwenye pagare.
Tusije aibika cuzzo, siku nakupeleka na mibegi ukalia kurudi nyumbani cuzzo.
 
Weee thubutuuu!!! Acha kudanganya hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Una mitoto ya kutosha kila mtoto na mama yake…..
Kuna id unaipanga eeeh?? 😜
Najua huwezi amini 🀣🀣Sina kitete sana na dada zangu wa humu nshaamua kufaidi maandishi yako inatosha
 
Hatutaki hatutaki hatutaki kabisa.
Yule mtoa mahali ntamwambia aje tu na moo wazima idara zote🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Lakini unauhakika shemeji pesa madafu au ndo analipa kodi kwenye pagare.
Tusije aibika cuzzo, siku nakupeleka na mibegi ukalia kurudi nyumbani cuzzo.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Bina acha basi mbavu zinaniuma ujue hafu kichwa kinauma…
Sikuwahi kujua km una mineno hivi 🀣🀣🀣

Kwahiyo nitarudi na mishangazi yangu kaja??
Hebu kaangalie kwanza tupate uhakika na anapoishi, kabla hujanisindikiza kwa mume
 
Back
Top Bottom