Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π sijakaa kinyonge tajiri, ooh sorry ni jiraniJirani leo umechafukwa πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π sijakaa kinyonge tajiri, ooh sorry ni jiraniJirani leo umechafukwa πππ
Unanitishia keyboard?Acha kuji pakulia maujiko, Nisha Rudi mjini.
Set location boya weeπ€π
Umeanza mimi na utajiri wapi na wapi jirani?? πππππ sijakaa kinyonge tajiri, ooh sorry ni jirani
Nilijisahau jirani na ni kwaresma dhambi ya uongo siitakUmeanza mimi na utajiri wapi na wapi jirani?? ππππ
ππππNimelia sana ππππ
Yani viazi vya ifakara kweli???
Hatutaki hatutaki hatutaki kabisa.Bina una mineno mikali sana πππ
Kwahiyo ngβombe hanithi hawafai kwenye mahari??? ππππ
ππππ Ww una lako jambo sio bure..Nilijisahau jirani na ni kwaresma dhambi ya uongo siitak
Nisamehe jirani kesho tuwahi njia ya msalabaππππ Ww una lako jambo sio bure..
Nimekwambia naishi kwa wazazi wangu
Wifi nalia tena πππππππππ
Oya Facebook cafe ihusike pale, uta simulia nusu albinoo π€Unanitishia keyboard?
π hii vita ya mawe na unaishi nyumba ya vioo utaiweza ?Brother Half american nisamehe Kama nili kosea kukupiga Pichaπ€ππ.
Charles kilian, Depal, Nuzulati niombeeni msamaha π€
View attachment 2920032
Hapo umeweka dawa nn mbona kila siku ni hapoOya Facebook cafe ihusike pale, uta simulia nusu albinoo π€
Najua huwezi amini π€£π€£Sina kitete sana na dada zangu wa humu nshaamua kufaidi maandishi yako inatoshaWeee thubutuuu!!! Acha kudanganya hapa ππππ
Una mitoto ya kutosha kila mtoto na mama yakeβ¦..
Kuna id unaipanga eeeh?? π
Oyaaa ππ€£π€£πππ€£π€£π€£π€£π€£Brother Half american nisamehe Kama nili kosea kukupiga Pichaπ€ππ.
Charles kilian, Depal, Nuzulati niombeeni msamaha π€
View attachment 2920032
πππππ Bina acha basi mbavu zinaniuma ujue hafu kichwa kinaumaβ¦Hatutaki hatutaki hatutaki kabisa.
Yule mtoa mahali ntamwambia aje tu na moo wazima idara zoteπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Lakini unauhakika shemeji pesa madafu au ndo analipa kodi kwenye pagare.
Tusije aibika cuzzo, siku nakupeleka na mibegi ukalia kurudi nyumbani cuzzo.
πOooh ok poa ..nilishtuka kdg wengine tunapenda aman na diplomasia
Wewe uende njia ya msalaba?? Na mibinuko umuachie nani ππππNisamehe jirani kesho tuwahi njia ya msalaba
ππππ Haya tajiri mtoto na kati ya kkooNajua huwezi amini π€£π€£Sina kitete sana na dada zangu wa humu nshaamua kufaidi maandishi yako inatosha
Kisa nini my wiiiππWifi nalia tena πππππ