DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Viazi vya ifakara wifi πππKisa nini my wiiiππ
π€£π€£π€£π€£Very interesting
Kwa Umaarufu na Umuhimu wangu Uliotukuka mkitaka nije huko nitumieni Chopper inifuate hapa Kwangu nilipohamia sasa Mapinga Chango Hela Bagamoyo Mkoani Pwani ili inilete huko Ukumbini kwenye hiyo Hafla yenu.Kwamba nije kutana na GENTAMYCINE mchawi wa kolo FC?
Nina Jamaa zangu pale, unge twangika kiboya ππ€£.Hapo umeweka dawa nn mbona kila siku ni hapo
Nimeenda kuchungulia, ngoja nicheke kwanza,πππππ Bina acha basi mbavu zinaniuma ujue hafu kichwa kinaumaβ¦
Sikuwahi kujua km una mineno hivi π€£π€£π€£
Kwahiyo nitarudi na mishangazi yangu kaja??
Hebu kaangalie kwanza tupate uhakika na anapoishi, kabla hujanisindikiza kwa mume
Jamanii wiii si ndivyo alivyo zaliwa πππViazi vya ifakara wifi πππ
Umetukosea sana wanafamilia
Usiwaze kaka tutachanga chopper itakujaKwa Umaarufu na Umuhimu wangu Uliotukuka mkitaka nije huko nitumieni Chopper inifuate hapa Kwangu nilipohamia sasa Mapinga Chango Hela Bagamoyo Mkoani Pwani ili inilete huko Ukumbini kwenye hiyo Hafla yenu.
Naisubiri.Usiwaze kaka tutachanga chopper itakuja
Ebu tuoneβ¦usicheke pekeyakoNimeenda kuchungulia, ngoja nicheke kwanza,
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ π€£π€£π€£π€£
Nimetumiwa picha zake, ngoja nicheke tenaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Wazo zuri nataka nikutane na mtibeli na binti kimoso
Hiyo mijimoo hatuna pa kuiweka cuzzo yani labda tuchinje tuuze kg moja afu tatu mia tano.πππππ Bina acha basi mbavu zinaniuma ujue hafu kichwa kinaumaβ¦
Sikuwahi kujua km una mineno hivi π€£π€£π€£
Kwahiyo nitarudi na mishangazi yangu kaja??
Hebu kaangalie kwanza tupate uhakika na anapoishi, kabla hujanisindikiza kwa mume
πππππππππππ
Acha Nika oge maji ya maharage tuπViazi vya ifakara wifi πππ
Umetukosea sana wanafamilia
ππππππππππππππ