All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

😂😂😂😂😂 Bina acha basi mbavu zinaniuma ujue hafu kichwa kinauma…
Sikuwahi kujua km una mineno hivi 🤣🤣🤣

Kwahiyo nitarudi na mishangazi yangu kaja??
Hebu kaangalie kwanza tupate uhakika na anapoishi, kabla hujanisindikiza kwa mume
Nimeenda kuchungulia, ngoja nicheke kwanza,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 🤣🤣🤣🤣
Nimetumiwa picha zake, ngoja nicheke tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂 Bina acha basi mbavu zinaniuma ujue hafu kichwa kinauma…
Sikuwahi kujua km una mineno hivi 🤣🤣🤣

Kwahiyo nitarudi na mishangazi yangu kaja??
Hebu kaangalie kwanza tupate uhakika na anapoishi, kabla hujanisindikiza kwa mume
Hiyo mijimoo hatuna pa kuiweka cuzzo yani labda tuchinje tuuze kg moja afu tatu mia tano.
Alafu tuwe matajiri tujaze vibubu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ebu tuone…usicheke pekeyako
Screenshot_20240229-000801_1.jpg

Huyu kweli amuoe cuzzo angu Lamomy mhhh
 
Back
Top Bottom