Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hii Hali ya dar es salaam sio powa full radi na mawingu
Radi ziko wapi, watu wa dar mna uoga sana.Hii Hali ya dar es salaam sio powa full radi na mawingu
Weeee πNimeenda kuchungulia, ngoja nicheke kwanza,
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ π€£π€£π€£π€£
Nimetumiwa picha zake, ngoja nicheke tenaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Dada Carleen usicheke sanaYule kada anayeweka namba ya simu nitamlipia aje kwa party
Nakooooooojoooooooaaaaaaa πππππ
Ndio kaka huku mitaa ya kigamboni inapiga sana radiUna hofu juu ya mawingu au radi?
Hii week inaitwa nenda polepole tuone kama nyuma kuna cheza na ikitokea mwanaume kukacheza basi mchezo wenyewe unamalizwa na kina mahiiiiiiiiii.Weeee π
Bina mi sitaki, hebu niwekee na mimi nisafishe machoβ¦. Ubuyu wa moto huu bina ππππ
Hii week mbona ya moto sana jomooonii
ππ€£Mkuu inapiga sana hii radi ni balaaa Kuna Moja imepiga hadi watoto wangu wamenikimbilia wanaogopa sanaRadi ziko wapi, watu wa dar mna uoga sana.
Unaogopa radi?Ndio kaka huku mitaa ya kigamboni inapiga sana radi
πππππ Minyama ya ngβombe hanithiiiiiiiHiyo mijimoo hatuna pa kuiweka cuzzo yani labda tuchinje tuuze kg moja afu tatu mia tano.
Alafu tuwe matajiri tujaze vibubuπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Shem nitafurahi sana kukuonaYule kada anayeweka namba ya simu nitamlipia aje kwa party
π€£π€£π€£π€£Mwenzio bado natubu midhambii yangu ewwww.Nakooooooojoooooooaaaaaaa πππππ
Bina una nini lakini?? π€£π€£π€£π€£
Ntakuchapa ujue, mbona unanifanya nirudi kwenye hekaheka na mwezi wa kwaresima huu
Wii hata km ni kweli ila umetukosea kutusema mbele ya kadamnasi sijapentraaa πππππJamanii wiii si ndivyo alivyo zaliwa πππ
Sana yaani π€£ ni hatari sanaUnaogopa radi?
Unanitafutia kitubio kikubwa πππππ€£π€£π€£π€£Mwenzio bado natubu midhambii yangu ewwww.
Sisi hatuwezi kula minyama ya ng'ombe anaebana paja akitaka kususu.πππππ Minyama ya ngβombe hanithiiiiiii
Tajir yangu ni wwπππππ Haya tajiri mtoto na kati ya kkoo