Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Jichanganye uje upigike vibaya mno na black mambaNusu albino the kenge majiπ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jichanganye uje upigike vibaya mno na black mambaNusu albino the kenge majiπ
Sie wa dar tuna uzoefu nazo tunataka kujua tu locationHii party inatakiwa ifanywe Dar se salaam pamoja na kanda ya ziwa.
Kusudi tuwaone wakina Najimunisa.
Hahahahaha kila Mkoa ,kila kanda ziandae na waoNaomba dodoma issahaulike wajemani mm nitakiwa mwnyekiti wa kamati ya maandalizi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe Ni mjinga nn kwani lazm wanawake wote watavutie kichwan unawaza ngono tuIle yakwanza 80% ya warembo walikuwa hawavutii cjui hio ya sasa
Sie ngoja tusubili mwenyekiti wetu Auntie Shuuu atoe tamko wapiππSie wa dar tuna uzoefu nazo tunataka kujua tu location
Set the location??Jichanganye uje upigike vibaya mno na black mamba
Mie sijawahi kukosa hata moja ..zote mbili zimehudhuria...hii nitakuwepo..hapa najaribu kuwasiliana na KakaKiiza Tukutane leo jioni au weekend tuyajenge vzrMkubwa we uta enda??
Hahahahahaha..haya endeleeni kila la kheriSie ngoja tusubili mwenyekiti wetu Auntie Shuuu atoe tamko wapiππ
AmenHahahahahaha..haya endeleeni kila la kheri
Sicheki ππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Sawa ngoja nikutumie chap kidg ila tu usicheke
Hahaha, ngoja nimalizie ka deal sehemu.Mie sijawahi kukosa hata moja ..zote mbili zimehudhuria...hii nitakuwepo..hapa najaribu kuwasiliana na KakaKiiza Tukutane leo jioni au weekend tuyajenge vzr
Zamani JF ilikua familia sana..
Sicheki πππ
Ka deal ka nini tena..hata hiki ki party nako mpk upige dealHahaha, ngoja nimalizie ka deal sehemu.
Naeza ona mambo yakoje.
Una balaa wewe mimi nitakuja na pilipili na malimao kabisaKaka unakumbuka ng'ombe wako wa maziwa yule nilimpiga picha kaka ππ Fanya mipango achinjwe ili tupige supuView attachment 2920123