All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

😁🤣😂😂 We wauzie wale jamaa wanaotoka kasumbalesa wakuibie mtaji wako wa dagaa na hizo korosho zako 😂 vipi skuizi kazi ya kuchoma mkaa umeacha au bado🤣😁😂😂
Kuna jomba ana peleka Hadi gari 10 kwa mwezi, sio POA mzee.
Kaanza kunipa mchoro kidogo, sema umri ndo naona una mfanya awaze kidogo.

Ila kwenye madini ya biashara, ndo ana nikubali Sana.
 
Wanabody hili ni wazo kwakuwa hili liliwai kufanyika miaka ya 2013-14 na liwa na mafanikio makubwa sana nakumbuka lilifanyika pale Kebby'es na nyingine ikafanyika Escape one.

Namimi nikiwa moja ya hile kamati! Na kwakuwa imepita muda mrefu basi tunaleta wazo kwenu ili anagalau tukutane tuojadili mambo ya maendeleo Kila mtu anabaki na User name yake labda ukiamua wewe kuisema ila siyo lazima kutaja user name yako kwa sababu za kiusalama!

Njia ambayo itakayotumiwa ni kuuza tikiketi kwa mtandao hata katika vituo ambavyo vitatajwa hapo baadae..Kwa sasa ni kutoa wazo muitikio wenu ndiyo utatoa ruhusa ya kufanyika hili jambo! Naleta kwenu wazo!
Pia ni vyema waunga mkono wakajulikana mrengo wao kiitikadi kisiasa, na kiitikadi kimakundi,ili tukio lisiewe sababu za kutafutana na kusumbuana baadae🤓.Kwa kuwa wapo ambao ukibahatika kuwaona na kuwajua unaweza kuta unabembea na shingo yake bila kuchelewa🤸🤸🤸
 
Oya Lamomy naona leo nime itwa majina na kupewa Picha kabisa🤓.
Ila shida pacha wako, nime kuwa mkimya coz nili aswa na mtu jana nitulie

Ila Kuna majina nime itwa, for the sake of my image naomba nijibu.

Kautaka upande wa pili kaupata, si Alikuwa ana nitumia Picha zake kibao.
Basi Mwambie a verify hayo madai yake sijui ya ng'ombe na Picha.
Oya aki shindwa, asi nilaumu jamani 🙏

Kuna hela nzuri akiweza, ila na Mimi nimpe jibu I can create any dumb shit image au taarifa kutumia Picha alizi nitumia.

Tena ata nichukia kinyama, Nina wanangu ni it Wana ma group kibao hapo mwanza😀🤣.
SI huwa una sikia zile content za vpn zime vuja, au ile ya gwajima iliyo editiwa😀🤓.

basi pigo langu ni Hilo, Mwambie kuanzia ya kwake, mdogo, mpaka bimkubwa wake🤒.

nasubiri majibu🙏🙏.
 
Oya Lamomy naona leo nime itwa majina na kupewa Picha kabisa🤓.
Ila shida pacha wako, nime kuwa mkimya coz nili aswa na mtu jana nitulie

Ila Kuna majina nime itwa, for the sake of my image naomba nijibu.

Kautaka upande wa pili kaupata, si Alikuwa ana nitumia Picha zake kibao.
Basi Mwambie a verify hayo madai yake sijui ya ng'ombe na Picha.
Oya aki shindwa, asi nilaumu jamani 🙏

Kuna hela nzuri akiweza, ila na Mimi nimpe jibu I can create any dumb shit image au taarifa kutumia Picha alizi nitumia.

Tena ata nichukia kinyama, Nina wanangu ni it Wana ma group kibao hapo mwanza😀🤣.
SI huwa una sikia zile content za vpn zime vuja, au ile ya gwajima iliyo editiwa😀🤓.

basi pigo langu ni Hilo, Mwambie kuanzia ya kwake, mdogo, mpaka bimkubwa wake🤒.

nasubiri majibu🙏🙏.
Usiseme nilikutumia picha sema uliziscreenshot kweny watsap status

Wewe ukitaka kutuma picha hata ya babu yangu kizaa shangazi tuma.
Mfyuuuuuh
 
Oya Lamomy naona leo nime itwa majina na kupewa Picha kabisa🤓.
Ila shida pacha wako, nime kuwa mkimya coz nili aswa na mtu jana nitulie

Ila Kuna majina nime itwa, for the sake of my image naomba nijibu.

Kautaka upande wa pili kaupata, si Alikuwa ana nitumia Picha zake kibao.
Basi Mwambie a verify hayo madai yake sijui ya ng'ombe na Picha.
Oya aki shindwa, asi nilaumu jamani 🙏

Kuna hela nzuri akiweza, ila na Mimi nimpe jibu I can create any dumb shit image au taarifa kutumia Picha alizi nitumia.

Tena ata nichukia kinyama, Nina wanangu ni it Wana ma group kibao hapo mwanza😀🤣.
SI huwa una sikia zile content za vpn zime vuja, au ile ya gwajima iliyo editiwa😀🤓.

basi pigo langu ni Hilo, Mwambie kuanzia ya kwake, mdogo, mpaka bimkubwa wake🤒.

nasubiri majibu🙏🙏.
Wewe ndio ulitaka nijibu sababu asubui umeniita takataka.

Alafu uliona wapi mwanaume akamuita mtu pacha😂😂😂

Umeshanitukana sana huko nyuma na nilikua kimya kabisa.
Huo upande wako wa pili uwe wa kijani au udhurungi basi mim sinyali.

Wewe sema kingine bana acha kunitisha tisha hii bongo ndogo sana babu.

Ukinyamaza ntanyamaza ila ukiendelea kujibu basi ww utaendelea kudharauliwa na wanaume wenzio na madem zako humu ndani kwa nyumba😂😂😂

Alafu cha mwisho kabla sijareply uupuuzi wako wowote kuanzia sasa.
Kuna mwanaume kijana hizi mambo za kike waachie wakike.

Alafu kingine cha mwisho bi mdogo usimuhusishe yoyte kweny familia yangu kuhusu hili hii ni baina yangu na ww 🍑🍑🍑🍑🍑
 
Back
Top Bottom