Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa watoto wa dar mchele mchele hao, watoto kiepe hao.😂🤣Mkuu inapiga sana hii radi ni balaaa Kuna Moja imepiga hadi watoto wangu wamenikimbilia wanaogopa sana
Achana naye ilimradi maisha tunayo tuna afya basi kama yeye ni mchokozi basi maisha sio kulumbana uhela bibie let it goBora umekuja kipenzi changu.
Ety mim nilikutuma umtukane Intelligent businessman kibambara?
Na kati yangu mim na na yeye nani alianza kumtukana mwenzie?
Alafu itabid tukodi na benz 🤣🤣🤣
Natumai mzigo hajaupunguza na mbanga sijui za diet.
Tatizo nikinyamaza anaendelea.Achana naye ilimradi maisha tunayo tuna afya basi kama yeye ni mchokozi basi maisha sio kulumbana uhela bibie let it go
My mie siendi labda iwe miracle or somethingTatizo nikinyamaza anaendelea.
Sema ntafanya hivo pia,
Haya Unique ww utavaa sarw na sie ljn kila mtu mshono ake si ndio.
Aikooo! na wewe kwanini uliishi kufake fake JF 🤣 🤣 🤣 ila umenichekesha sanaHapo kwenye usafiri wa pamoja nimependa haiwezakani wengine tuje na daladala alafu wengine waje na magari yao
Tuanze kusemana wewe nilijua una hela ukiwa Jf kumbe ndio hivi
Wazo zuri la usafiri wa pamoja👋
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mungu anapiga picha lolSasa watoto wa dar mchele mchele hao, watoto kiepe hao.
Enzi zetu radi inapiga tunatoka nje maana tulikua tunasema mungu anapiga picha, ko tunaweka styles mbalimbali picha itoke vizuri, nyie kidogo tu unakimbilia ndani.
Tutakubeba juu juu twendeMy mie siendi labda iwe miracle or something
Asante sana Barikiwa MtumishiWewe tu
🤣 Kidogo kidogo JoblessOyaa una zingua😀🤣,
Jomba maisha yako yalikuwa mazuri, Mimi hiyo radi nili tumia kusomea.Sasa watoto wa dar mchele mchele hao, watoto kiepe hao.
Enzi zetu radi inapiga tunatoka nje maana tulikua tunasema mungu anapiga picha, ko tunaweka styles mbalimbali picha itoke vizuri, nyie kidogo tu unakimbilia ndani.
Am your comrade, ila una ni treat ka njuka😀🤣🤒.🤣 Kidogo kidogo Jobless
😂😂😂 sisi huko kijijini hasa primary hakukua na ishu za kusoma.Jomba maisha yako yalikuwa mazuri, Mimi hiyo radi nili tumia kusomea.
Iki piga nasoma ukurasa mmoja wa daftari chap
Hamkupitia haya mkuu??🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mungu anapiga picha lol