All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

πŸ˜πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚ We wauzie wale jamaa wanaotoka kasumbalesa wakuibie mtaji wako wa dagaa na hizo korosho zako πŸ˜‚ vipi skuizi kazi ya kuchoma mkaa umeacha au badoπŸ€£πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna jomba ana peleka Hadi gari 10 kwa mwezi, sio POA mzee.
Kaanza kunipa mchoro kidogo, sema umri ndo naona una mfanya awaze kidogo.

Ila kwenye madini ya biashara, ndo ana nikubali Sana.
 
Pia ni vyema waunga mkono wakajulikana mrengo wao kiitikadi kisiasa, na kiitikadi kimakundi,ili tukio lisiewe sababu za kutafutana na kusumbuana baadaeπŸ€“.Kwa kuwa wapo ambao ukibahatika kuwaona na kuwajua unaweza kuta unabembea na shingo yake bila kuchelewa🀸🀸🀸
 
Oya Lamomy naona leo nime itwa majina na kupewa Picha kabisaπŸ€“.
Ila shida pacha wako, nime kuwa mkimya coz nili aswa na mtu jana nitulie

Ila Kuna majina nime itwa, for the sake of my image naomba nijibu.

Kautaka upande wa pili kaupata, si Alikuwa ana nitumia Picha zake kibao.
Basi Mwambie a verify hayo madai yake sijui ya ng'ombe na Picha.
Oya aki shindwa, asi nilaumu jamani πŸ™

Kuna hela nzuri akiweza, ila na Mimi nimpe jibu I can create any dumb shit image au taarifa kutumia Picha alizi nitumia.

Tena ata nichukia kinyama, Nina wanangu ni it Wana ma group kibao hapo mwanzaπŸ˜€πŸ€£.
SI huwa una sikia zile content za vpn zime vuja, au ile ya gwajima iliyo editiwaπŸ˜€πŸ€“.

basi pigo langu ni Hilo, Mwambie kuanzia ya kwake, mdogo, mpaka bimkubwa wakeπŸ€’.

nasubiri majibuπŸ™πŸ™.
 
Usiseme nilikutumia picha sema uliziscreenshot kweny watsap status

Wewe ukitaka kutuma picha hata ya babu yangu kizaa shangazi tuma.
Mfyuuuuuh
 
Wewe ndio ulitaka nijibu sababu asubui umeniita takataka.

Alafu uliona wapi mwanaume akamuita mtu pachaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Umeshanitukana sana huko nyuma na nilikua kimya kabisa.
Huo upande wako wa pili uwe wa kijani au udhurungi basi mim sinyali.

Wewe sema kingine bana acha kunitisha tisha hii bongo ndogo sana babu.

Ukinyamaza ntanyamaza ila ukiendelea kujibu basi ww utaendelea kudharauliwa na wanaume wenzio na madem zako humu ndani kwa nyumbaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Alafu cha mwisho kabla sijareply uupuuzi wako wowote kuanzia sasa.
Kuna mwanaume kijana hizi mambo za kike waachie wakike.

Alafu kingine cha mwisho bi mdogo usimuhusishe yoyte kweny familia yangu kuhusu hili hii ni baina yangu na ww πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…