NInakuogopa LamoπHuyo hata pesa kiingilio hana mi wa nini ππππ
[emoji23][emoji23][emoji23] wee huudhurii mahi diha?Twasubiri mrejesho mtakaohudhuria
Nyie nimegundua mnapendana ila mmeamua kutuchosha tu wambea ππππOya Lamomy naona leo nime itwa majina na kupewa Picha kabisaπ€.
Ila shida pacha wako, nime kuwa mkimya coz nili aswa na mtu jana nitulie
Ila Kuna majina nime itwa, for the sake of my image naomba nijibu.
Kautaka upande wa pili kaupata, si Alikuwa ana nitumia Picha zake kibao.
Basi Mwambie a verify hayo madai yake sijui ya ng'ombe na Picha.
Oya aki shindwa, asi nilaumu jamani π
Kuna hela nzuri akiweza, ila na Mimi nimpe jibu I can create any dumb shit image au taarifa kutumia Picha alizi nitumia.
Tena ata nichukia kinyama, Nina wanangu ni it Wana ma group kibao hapo mwanzaππ€£.
SI huwa una sikia zile content za vpn zime vuja, au ile ya gwajima iliyo editiwaππ€.
basi pigo langu ni Hilo, Mwambie kuanzia ya kwake, mdogo, mpaka bimkubwa wakeπ€.
nasubiri majibuππ.
Kitakua kivumbi hapo balaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muwe kwenye hiyo party harafu mara msikie sauti inasema kwa nguvu na kwa kuamrisha, MUWAZUNGUKE WOTEE ASITOKE ATA MMOJA[emoji1787][emoji23]
Hah then I'm practicing amaPiano moves..tukiwasheCanβt waitβ¦. Naanza kusaka gauni langu π
Binamu malizeni tofauti zenu nyie mnapendana, ugomvi wa wapenzi naujua tone zao za uandishi πππππWewe ndio ulitaka nijibu sababu asubui umeniita takataka.
Alafu uliona wapi mwanaume akamuita mtu pachaπππ
Umeshanitukana sana huko nyuma na nilikua kimya kabisa.
Huo upande wako wa pili uwe wa kijani au udhurungi basi mim sinyali.
Wewe sema kingine bana acha kunitisha tisha hii bongo ndogo sana babu.
Ukinyamaza ntanyamaza ila ukiendelea kujibu basi ww utaendelea kudharauliwa na wanaume wenzio na madem zako humu ndani kwa nyumbaπππ
Alafu cha mwisho kabla sijareply uupuuzi wako wowote kuanzia sasa.
Kuna mwanaume kijana hizi mambo za kike waachie wakike.
Alafu kingine cha mwisho bi mdogo usimuhusishe yoyte kweny familia yangu kuhusu hili hii ni baina yangu na ww πππππ
Kwann kaka ππππNInakuogopa Lamoπ
Naogopa msutoπKwann kaka ππππ
Umeanza lini kunigopa mdogo ako???
Uduguu hi πKitakua kivumbi hapo balaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ Nani huyo akusute??Naogopa msutoπ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ndo nn modes kunikatilii vilee?Uduguu hi [emoji112]
Mbona adimu sana wewe??
Basi ushafichwa hivo [emoji23][emoji23][emoji23]
Lkn ulijibu maswali yangu mengu kupitia msuto huoππππ Nani huyo akusute??
Hausutwi na mtu kaka angu km mdogo ako bado niko haiβ¦.
Pole sana ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ndo nn modes kunikatilii vilee?
Sijapentaaas wallah, nilitakaa nikasawazishee mambo na miee.
Nasikia jana usiku kilikua kivumbii, had uzi ukatiwa kufuli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ kaka Glen hi πLkn ulijibu maswali yangu mengu kupitia msuto huo
Hivi unajua lazi za Wazee zilivyo Kali, we haya πMzee wa Masadaπ
Naona unatengeneza mazingira πHivi unajua lazi za Wazee zilivyo Kali, we haya π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unafungwaje na nilitoa taarifa kuwa na mie ntauchachuaaa.Pole sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila yashapita udugu tugange yajayoβ¦. Selfika bye bye km kawaida mods hawataki mambo mengi..!!
Wewe si ulisema uzi usipoe uchachuliwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hivo umelala yooo
Mazingira yapi tena?Naona unatengeneza mazingira π