Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
NInakuogopa Lamo๐Huyo hata pesa kiingilio hana mi wa nini ๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NInakuogopa Lamo๐Huyo hata pesa kiingilio hana mi wa nini ๐๐๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23] wee huudhurii mahi diha?Twasubiri mrejesho mtakaohudhuria
Nyie nimegundua mnapendana ila mmeamua kutuchosha tu wambea ๐๐๐๐Oya Lamomy naona leo nime itwa majina na kupewa Picha kabisa๐ค.
Ila shida pacha wako, nime kuwa mkimya coz nili aswa na mtu jana nitulie
Ila Kuna majina nime itwa, for the sake of my image naomba nijibu.
Kautaka upande wa pili kaupata, si Alikuwa ana nitumia Picha zake kibao.
Basi Mwambie a verify hayo madai yake sijui ya ng'ombe na Picha.
Oya aki shindwa, asi nilaumu jamani ๐
Kuna hela nzuri akiweza, ila na Mimi nimpe jibu I can create any dumb shit image au taarifa kutumia Picha alizi nitumia.
Tena ata nichukia kinyama, Nina wanangu ni it Wana ma group kibao hapo mwanza๐๐คฃ.
SI huwa una sikia zile content za vpn zime vuja, au ile ya gwajima iliyo editiwa๐๐ค.
basi pigo langu ni Hilo, Mwambie kuanzia ya kwake, mdogo, mpaka bimkubwa wake๐ค.
nasubiri majibu๐๐.
Kitakua kivumbi hapo balaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muwe kwenye hiyo party harafu mara msikie sauti inasema kwa nguvu na kwa kuamrisha, MUWAZUNGUKE WOTEE ASITOKE ATA MMOJA[emoji1787][emoji23]
Hah then I'm practicing amaPiano moves..tukiwasheCanโt waitโฆ. Naanza kusaka gauni langu ๐
Binamu malizeni tofauti zenu nyie mnapendana, ugomvi wa wapenzi naujua tone zao za uandishi ๐๐๐๐๐Wewe ndio ulitaka nijibu sababu asubui umeniita takataka.
Alafu uliona wapi mwanaume akamuita mtu pacha๐๐๐
Umeshanitukana sana huko nyuma na nilikua kimya kabisa.
Huo upande wako wa pili uwe wa kijani au udhurungi basi mim sinyali.
Wewe sema kingine bana acha kunitisha tisha hii bongo ndogo sana babu.
Ukinyamaza ntanyamaza ila ukiendelea kujibu basi ww utaendelea kudharauliwa na wanaume wenzio na madem zako humu ndani kwa nyumba๐๐๐
Alafu cha mwisho kabla sijareply uupuuzi wako wowote kuanzia sasa.
Kuna mwanaume kijana hizi mambo za kike waachie wakike.
Alafu kingine cha mwisho bi mdogo usimuhusishe yoyte kweny familia yangu kuhusu hili hii ni baina yangu na ww ๐๐๐๐๐
Kwann kaka ๐๐๐๐NInakuogopa Lamo๐
Naogopa msuto๐Kwann kaka ๐๐๐๐
Umeanza lini kunigopa mdogo ako???
Uduguu hi ๐Kitakua kivumbi hapo balaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐๐๐๐ Nani huyo akusute??Naogopa msuto๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ndo nn modes kunikatilii vilee?Uduguu hi [emoji112]
Mbona adimu sana wewe??
Basi ushafichwa hivo [emoji23][emoji23][emoji23]
Lkn ulijibu maswali yangu mengu kupitia msuto huo๐๐๐๐ Nani huyo akusute??
Hausutwi na mtu kaka angu km mdogo ako bado niko haiโฆ.
Pole sana ๐๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ndo nn modes kunikatilii vilee?
Sijapentaaas wallah, nilitakaa nikasawazishee mambo na miee.
Nasikia jana usiku kilikua kivumbii, had uzi ukatiwa kufuli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐๐๐๐ kaka Glen hi ๐Lkn ulijibu maswali yangu mengu kupitia msuto huo
Hivi unajua lazi za Wazee zilivyo Kali, we haya ๐Mzee wa Masada๐
Naona unatengeneza mazingira ๐Hivi unajua lazi za Wazee zilivyo Kali, we haya ๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unafungwaje na nilitoa taarifa kuwa na mie ntauchachuaaa.Pole sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila yashapita udugu tugange yajayoโฆ. Selfika bye bye km kawaida mods hawataki mambo mengi..!!
Wewe si ulisema uzi usipoe uchachuliwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hivo umelala yooo
Mazingira yapi tena?Naona unatengeneza mazingira ๐