All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

Oya Lamomy naona leo nime itwa majina na kupewa Picha kabisa๐Ÿค“.
Ila shida pacha wako, nime kuwa mkimya coz nili aswa na mtu jana nitulie

Ila Kuna majina nime itwa, for the sake of my image naomba nijibu.

Kautaka upande wa pili kaupata, si Alikuwa ana nitumia Picha zake kibao.
Basi Mwambie a verify hayo madai yake sijui ya ng'ombe na Picha.
Oya aki shindwa, asi nilaumu jamani ๐Ÿ™

Kuna hela nzuri akiweza, ila na Mimi nimpe jibu I can create any dumb shit image au taarifa kutumia Picha alizi nitumia.

Tena ata nichukia kinyama, Nina wanangu ni it Wana ma group kibao hapo mwanza๐Ÿ˜€๐Ÿคฃ.
SI huwa una sikia zile content za vpn zime vuja, au ile ya gwajima iliyo editiwa๐Ÿ˜€๐Ÿค“.

basi pigo langu ni Hilo, Mwambie kuanzia ya kwake, mdogo, mpaka bimkubwa wake๐Ÿค’.

nasubiri majibu๐Ÿ™๐Ÿ™.
Nyie nimegundua mnapendana ila mmeamua kutuchosha tu wambea ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mfanye myamalize watu mmefikia hatua hadi familia zenu zinajuana!! Msitake tuingilie baadae tuonekane wabaya ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Binamu Lovelovie naomba muende chemba mkayajenge ๐Ÿ˜œ
 
Wewe ndio ulitaka nijibu sababu asubui umeniita takataka.

Alafu uliona wapi mwanaume akamuita mtu pacha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Umeshanitukana sana huko nyuma na nilikua kimya kabisa.
Huo upande wako wa pili uwe wa kijani au udhurungi basi mim sinyali.

Wewe sema kingine bana acha kunitisha tisha hii bongo ndogo sana babu.

Ukinyamaza ntanyamaza ila ukiendelea kujibu basi ww utaendelea kudharauliwa na wanaume wenzio na madem zako humu ndani kwa nyumba๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Alafu cha mwisho kabla sijareply uupuuzi wako wowote kuanzia sasa.
Kuna mwanaume kijana hizi mambo za kike waachie wakike.

Alafu kingine cha mwisho bi mdogo usimuhusishe yoyte kweny familia yangu kuhusu hili hii ni baina yangu na ww ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
Binamu malizeni tofauti zenu nyie mnapendana, ugomvi wa wapenzi naujua tone zao za uandishi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nyie mna kitu
 
Uduguu hi [emoji112]
Mbona adimu sana wewe??
Basi ushafichwa hivo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ndo nn modes kunikatilii vilee?
Sijapentaaas wallah, nilitakaa nikasawazishee mambo na miee.

Nasikia jana usiku kilikua kivumbii, had uzi ukatiwa kufuli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu ndo nn modes kunikatilii vilee?
Sijapentaaas wallah, nilitakaa nikasawazishee mambo na miee.

Nasikia jana usiku kilikua kivumbii, had uzi ukatiwa kufuli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ila yashapita udugu tugange yajayoโ€ฆ. Selfika bye bye km kawaida mods hawataki mambo mengi..!!
Wewe si ulisema uzi usipoe uchachuliwe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ndio hivo umelala yooo
 
Pole sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila yashapita udugu tugange yajayoโ€ฆ. Selfika bye bye km kawaida mods hawataki mambo mengi..!!
Wewe si ulisema uzi usipoe uchachuliwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hivo umelala yooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unafungwaje na nilitoa taarifa kuwa na mie ntauchachuaaa.
Modes wamenikosea sana wallah.
 
Back
Top Bottom