Wifi usimkane buloo wakati na simu ulimpa aongee na mama mkwe, na pesa ya sikukuu ya soda laki 2 buloo alituma ππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Momy unanijua kabisa mim sio mnafki.
Sijawai kua na mahusiano nae, yule alikua ni rafiki angu kama wewe, na watu wengine humu ndani.
Mim nataniana na watu wengi sana humu ndani tena ukiangalia unaweza sema huyu dada malaya sana na nawaheshimu sana sana sana.
Nazani hapo umenielewa mama angu
Pesa ya vyuku ya eid el fitriπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππ Na wewe si ndo ulikuwa unaelekea uko jamani wiiβ¦ hutaki mama atumiwe pesa ya kuku pasaka??
Mchonganishi wewe πππWifi usimkane buloo wakati na simu ulimpa aongee na mama mkwe, na pesa ya sikukuu ya soda laki 2 buloo alituma πππππ
ππππππππππππππππππππππππππππππNimechekaa kama chiziWifi usimkane buloo wakati na simu ulimpa aongee na mama mkwe, na pesa ya sikukuu ya soda laki 2 buloo alituma πππππ
Uzi ukufungwa na huu mim msinitajeππππ Ila nyie mmeamua kunikondeshea ndugu yangu.!!!
Sawa tena nimeona mmeungana kumsimanga
Hapana kaka yangu hisia zake za kweli zilielekea kwa lovie ππππππ Na wewe si ndo ulikuwa unaelekea uko jamani wiiβ¦ hutaki mama atumiwe pesa ya kuku pasaka??
Ewaaaah!! Na Abaya la kuswalia ππππPesa ya vyuku ya eid el fitriπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Na uzi aliwekewa halafu ss hivi anamkana πππHapana kaka yangu hisia zake za kweli zilielekea kwa lovie ππ
Eeeh tena umenikumbusha kuhusu abaya.Ewaaaah!! Na Abaya la kuswalia ππππ
Tena umenikumbusha na uzi alifunguliwa eti leo lovie ni wa kumsema vile kaka yetu nalia huku πNa uzi aliwekewa halafu ss hivi anamkana πππ
Ila na wewe umependwa, dini inaruhusu mtaolewa woteβ¦ wifi yenu ntawapangia zamu πππ
Kwamba Mimi ndio msambaza maumivu au? πWakati wewe umeshindwana na Kaka yangu yule,unanitafutia mimi maumivu staki πππ
Na uzi buloo alikuandikia kukuonyesha anavyokulavu ππππππππππππππππππππππππππππππππππNimechekaa kama chizi
We una utundu niliwahi kukusoma mahali nikasema hadi huyu ππKwamba Mimi ndio msambaza maumivu au? π
Shangaa na wewe ukute wapo pamoja wanatutafuta wambea ubaya ππNa uzi buloo alikuandikia kukuonyesha anavyokulavu ππππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ila hizo screenshot huyo nae alokutumia atakuja asutwe khaaahNa uzi buloo alikuandikia kukuonyesha anavyokulavu ππππ
Nilishaacha π πWe una utundu niliwahi kukusoma mahali nikasema hadi huyu ππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mmenishinda tabia mmenishinda tabia.Shangaa na wewe ukute wapo pamoja wanatutafuta wambea ubaya ππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Yani mvulana yoyte anaeongea sana sana uongo mwingi mim nope big noope.Na uzi aliwekewa halafu ss hivi anamkana πππ
Ila na wewe umependwa, dini inaruhusu mtaolewa woteβ¦ wifi yenu ntawapangia zamu πππ
Kipenzi kwa mimi binafsi natania πππLamomy na Nuzulati
Mim naheshimu watu wote humu ndani, ilaa kitendo cha yeye kuninanga ndio kilinikera.
Angekua ni mvulana mwenye akili angekuja akasema oya ww binti acha moja mbili tatu hilo la kwanza.
La pili swala la kuonyesha kama mim niilikua na mahusiano nae ni swala la uongo na kujimwambafy hata shemeji enu wa kweli kaona haya mambo kashangaa. Kwa sababu hata ule uzi aliuona.
Kingine ni kua my love Lamomy huyo alokutumia hizo pdf ungemwambia tu akatafute kitu cha kufanya kwa sababu hata ww umlipi kwa kua chawa wakoπππππππ ( ungemuita akasoma hili pia)
Haya mambo wapenzi tuishieni nayo hapa cz tunakoelekea tutapigwa ban na mim sitak kupigwa ban cz bado naipenda jf.
Haya tupange sare za party JF queens