Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hiyo ndio nzuri sasaWatu kidogo haitanoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio nzuri sasaWatu kidogo haitanoga
Watu 10 15 mnakodi yatch mnazama bahariniHiyo ndio nzuri sasa
Naona Poker kapewa ban kafanya nini?? Si mlikuwa mnachat vzr tu hapa?? 🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mahi diaaaaa
Mkiibuka baada ya miezi kadhaa watu wanaanza kulamba vipande vya ndimu 😂😂😂Watu 10 15 mnakodi yatch mnazama baharini
Sawa sawa ,Mkuu au mnenda adventure mnachoma nyama mbali na makazi yenuWatu 10 15 mnakodi yatch mnazama baharini
🤣🤣🤣Labda kaiba muke ya tajiriiiNaona Poker kapewa ban kafanya nini?? Si mlikuwa mnachat vzr tu hapa?? 🤣🤣🤣
Wewe ni Poker ww😂😂😂😂Uje kabla sijafunga safari kukufuata hapo kilimahewa. Maan Niko mitaa ya kiloleli
Hatareee 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Labda kaiba muke ya tajiriii
Mwenyewe sielewi, sema mhhh hizi ban zimezagaa ni kua makini
Umemshtukia 😂😂😂Wewe ni Poker ww😂😂😂😂
Ndio ni yeye najua harufu yake🤣🤣🤣🤣🤣Umemshtukia 😂😂😂
Am in aisee, na nnavopenda nyama😋😋Sawa sawa ,Mkuu au mnenda adventure mnachoma nyama mbali na makazi yenu
Umetisha aiseee!! 😂😂😂😂Ndio ni yeye najua harufu yake🤣🤣🤣🤣🤣
Naona ushawahiwa😬😂😂😂😂😂😂😂😂😂
HahahahahaAm in aisee, na nnavopenda nyama😋😋
Mie bado sijapata mchumba wa kwenda nae kweny hiyo party😢😢😭😭😭Naona ushawahiwa😬
🤣🤣🤣🤣Umetisha aiseee!! 😂😂😂😂
Unasema kweli au unanitikisa tu😇Mie bado sijapata mchumba wa kwenda nae kweny hiyo party😢😢😭😭😭
Kweli tena😍Unasema kweli au unanitikisa tu😇